Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #121
HakikaYAMETIMIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaYAMETIMIA
Waambie wanakaribishwa kupinga tena na tena sawa??Kuna watu walikupinga
Nashukuru mkuuUko vzuri ulichambua vyema
AsanteHongera
Hapana ni kuusoma mchezo wa mpira nje ya box hakuna kingineWe mchawi.
Sasa umekubali si ndio??Nilikupinga kimya kimya.
Utaifungaje utopolo hii?Hulogopi?🤣🤣🤣🙏Sasa umekubali si ndio??
Waambie....kabla ya kupinga wajiulize timu Yao Iko wapi,na inaelekea wapo kiushindaniKiko wapi sasa mwamba alisema kabla Yanga hajafungwa that was September
Nashukuru mkuu kwa kulielewa hiloAisee!!!
Walivyokuwa wanakubishia nje ya utaalamu, hao ndiyo watanzania bwana... Maneno meeengi uhalisia sifuri.
Chukua kinywaji popote ulipo nitalipia!!!Utaifungaje utopolo hii?Hulogopi?🤣🤣🤣🙏
Kwanini Sasa???....hujiamini???....jf ni platform ya mawazo huruNilifuta comment yangu humu nilishtuka 😃😀😀😀😀
Nimekubali mzeeSasa umekubali si ndio??
Kwa kweli.Hapana ni kuusoma mchezo wa mpira nje ya box hakuna kingine
Gamondi hajafukuzwa kwa kupiteza mechi. Amefukuzwa jeuri na kuuvimbia Uongozi (mwajiri wake). Siko lilizidi kichwa.Kiko wapi sasa mwamba alisema kabla Yanga hajafungwa that was September
KivipiGamondi hajafukuzwa kwa kupiteza mechi. Amefukuzwa jeuri na kuuvimbia Uongozi (mwajiri wake). Siko lilizidi kichwa.
KhaaHivi hata kama hujui Mpira msimu uliopita timu ilikuwa inagawa dozi za kutosha msimu huu kama haikubebwa na refa basi goli tena moja la offside usijue kuwa timu imeshuka? Mastaa wanachowaza ni mechi iishe waende Kula bata[emoji1787][emoji1787]