Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #101
MDAU FCWewe ni kocha wa timu Gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MDAU FCWewe ni kocha wa timu Gani
Basi Endelea kufundisha hiyo mdau fc ya h1po kijijini kwenu yanga ni timu kubwa huwezi kujua chochote kuhusu mipango yake na hutokuja kuijua mileleMDAU FC
Mdau fc ipo Dunia nzima....na nimekukumbka ww kwenye usahili tulipopita kijijini kwenu tulichukua zaidi ya wachezaji 50 wa majaribio...Ila kwa masikitiko makubwa ww hukuweza kufuzu sababu kuu ulikuwa unacheza MAYENU TU!! Kama upo Congo pole!!....Shubaamit!!!Basi Endelea kufundisha hiyo mdau fc ya h1po kijijini kwenu yanga ni timu kubwa huwezi kujua chochote kuhusu mipango yake na hutokuja kuijua milele
Siku akipoteza ndio watu Kama ww mnakuwa wakwanza kuja HAPA jukwaani na kulia Lia bila sababu ya msingi, Leo nimekuja na nyuzi hii hapa JF mna panick bila kutumia akili
Hivi kwa mfano nikuulize swali la kizushi TU, Unahisi Yanga atachukua ubingwa milele??, na akikosa utasema utatoa sababu gani ya msingi???, achaga utoto jibu kwa kutumia akili
Hapana sitaraji hivo,mechi ni nyingi mno wachezaji wanachoka piaKUna ugumu gani mkuu? so far mechi zote ukijumlisha na za kirafiki na ngao ya jamii wamefungwa game moja tu na Augsberg ambayo inacheza bundesliga uko ujerumani na wakina bayern munich.
Mechi zingine dhidi zote kashinda
Kaizer chief(4-0)
Simba(1-0)
Azam(4-1)
Kagera(2-0)
Vital'O home and away(10-0)
CBE home amd away (7-0)
Kengold(1-0).
Nashindwa kuelewa ni ugumu gani unaouongelea wewe, au unatarajia ynga ashinde goli 4+ kila mechi?
Kwahiyo ulitaka gamundi adumu mile HAPO jangwani?Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Itoe Simba hapo kwenye list yako UchwaraYanga imekuwa tishio na imejinasibu kuwa timu bora Afrika, Jambo linalopelekea vilabu vingine vidogo kama Kengold, kmc, simba,azam n.k kuikamia wakijua wanacheza na timu kubwa
Muda utazungumza vyemaVp na Mimi nikikubishia??...nikasema nayojua Mimi??, nani ataonekana mkweli
imu uliopita bahasha zilitembezwa kwa sanaMsimu uliopita Yanga hadi si alipoteza kwa Ihefu kama sijakosea mlisema Yanga ishajuliwa!!
What happened?
Makocha hua wanafanya homework remember that.
Kuna watu walikupingaKocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
HongeraKocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
We mchawi.Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Nilikupinga kimya kimya.Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Uko sahihi hata hilo la kufukuzana hatukujua ghafla tu vuuup kipara kuleeeBasi Endelea kufundisha hiyo mdau fc ya h1po kijijini kwenu yanga ni timu kubwa huwezi kujua chochote kuhusu mipango yake na hutokuja kuijua milele