Mwenyewe0000
Member
- Oct 30, 2020
- 51
- 99
Asante sana Kaka,Ebu focus kaka, punguza updates kwasasa hivi, acha kabisa kuijadili kwa uzuri ama ubaya. Kuacha inawezekana kabisa Hongera kwa maamuzi
Umefananisha Saloon tena!!!!hapana.Mkuu Mwenyewe0000
Sijui nakufanisha, au vipi lakini nahisi kuna siku niliona uzi ukielezea biashara ya salon za kike... Kama sijakufanisha, vipi nywele dizaini ya huyu dada hapa chini soko lake lipo vipi kwa Dar?
mbona kama umempa picha ili akaitendee haki (kuipunyetia)Mkuu Mwenyewe0000
Sijui nakufanisha, au vipi lakini nahisi kuna siku niliona uzi ukielezea biashara ya salon za kike... Kama sijakufanisha, vipi nywele dizaini ya huyu dada hapa chini soko lake lipo vipi kwa Dar?
We jamaa weweMkuu Mwenyewe0000
Sijui nakufanisha, au vipi lakini nahisi kuna siku niliona uzi ukielezea biashara ya salon za kike... Kama sijakufanisha, vipi nywele dizaini ya huyu dada hapa chini soko lake lipo vipi kwa Dar?
NImefanya nini tena?! Au kuuliza ni kosa?!We jamaa wewe
HEEEE!!!!!mbona kama umempa picha ili akaitendee haki (kuipunyetia)
Sasa jomba hayo mara Mungu asaidie, mara kukwazika, mara siku ya saba leo na ni kusonga mbele... sasa yanatoka wapi tena!!! Mie nimekuuliza kama una uelewa na biashara ya nywele/wigi alilovaa huyo dada!!
Kumbe nimekufananisha!!!
Unisamehe kwa kosa gani nililofanya ndugu?! Mbona unafanya mambo kwa masimango?! Yaani kama ndivyo, basi am afraid utakuwa umechukua likizo tu manake mtu aliye serious with determination wala hawezi kutishika na picha, na wala hana sababu ya kutoa updates ya anachokusudia!!!Niliona intention yako nikaona umefanya kusudi Ila nikajua utakuwa ulikosea, nikakusamehe.
Nyeto haiachiki dadeq,Yaani siku saba tu umeanzisha na uzi kabisa... Yaani mimi nilikaa miezi mitatu na bado nikaja kuipiga tena ila kwasasa nimeacha kitambo. Pamoja na yote wewe bado ni mwana chama wa punyeto acha muda utaongea.