Tamu sana hii kituPunyeto Punyeto Punyeto Punyeto Punyeto five rimes whats wrong with dis issue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamu sana hii kituPunyeto Punyeto Punyeto Punyeto Punyeto five rimes whats wrong with dis issue
Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto.leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.
Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.
Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
Inawezekana, Inawezekana
We upo half time tu mzee baba, wala usituchanganye hapa [emoji23][emoji23][emoji23]leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.
Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.
Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
Inawezekana, Inawezekana
Mkuu maneno yako naona kama yananipa moyo kwa kiasi fulani.Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto.
nazidi kuamini ukiamua na ukimuomba Mungu kuacha inawezekana kabisa hata iwe ngumu kiasi gani.
asante kwa mnaoendelea kutoa ushauri, na ukiwa unapitia kwenye hiyo hali na unataka kuacha jua kuwa inawezekana nami nakaza mwendo kwa kuwa nimekusudia kuacha na nimeacha.
asante
Nimefurahi kusikia hivyo Kaka, ninachojua pekee yetu hatuwezi ila tuimuomba Mungu na tukidhamiria tunaweza kabisa.Mkuu maneno yako naona kama yananipa moyo kwa kiasi fulani.
Ntaanza leo namimi ntaleta mrejeshoNimefurahi kusikia hivyo Kaka, ninachojua pekee yetu hatuwezi ila tuimuomba Mungu na tukidhamiria tunaweza kabisa.
Nafuata ushauri,
Mazoezi,
Kuwa busy na Nazi au kujisomea vitu,
Kusoma sana NENO,
Kumuomba Mungu,
Kila siku nimetenga Muda wa kumshukuru Mungu kuwa na Leo umenisaidia,
Kujitenga na vishawishi mbalimbali
Tutaweza tuu, na lazima tuachane na vitu vinavyotesa moyo.
cc: Tundu Lissuleo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.
Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.
Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
Inawezekana, Inawezekana
Mimi nipo siku ya piliMimi nilikaa mwezi tu nikaanza kujisifu na kujiona mshindi, siku hiyo hiyo nikarudi mule mule [emoji16][emoji16][emoji16]
Watu wakorofi sana [emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu Mwenyewe0000
Sijui nakufanisha, au vipi lakini nahisi kuna siku niliona uzi ukielezea biashara ya salon za kike... Kama sijakufanisha, vipi nywele dizaini ya huyu dada hapa chini soko lake lipo vipi kwa Dar?
Kila LA heri, nakuombea uendelee kuimalika, na hakika unashinda.Mimi nipo siku ya pili
Focus kwa sasa,acha kuliongelea hili swala sana,,naamini utafanikiwa,,,,si unajua hata manzi ukimuongelea sana anajua unampenda ,,relax mkuu ,kula vizuri,zoezi kidogo,,inawezekanaleo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.
Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.
Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
Inawezekana, Inawezekana
Wahanga ni wengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nipo siku ya pili