Nazidi kuamini na kuona inawezekana kabisa kuacha kupiga Punyeto

Nazidi kuamini na kuona inawezekana kabisa kuacha kupiga Punyeto

leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.

Inawezekana, Inawezekana
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.

Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.

*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.

*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu LA kutazama vitu vinavyopelekea kujichua kwa tamaa ila katika kutazama ndani nikakumbuka kuwa nilishasema No kwa Punyeto nikaacha na kuendeleza kazi za kuwa busy

*Nimejifunza kupuuzia wanaosema huwezi kuacha, hiyo huwa hawaachi, na wenye kukatisha tamaa.

*Nimeamua kujifunza na kusikiliza kwa walioacha, na wanaotamani kuacha na wenye maneno ya kutia nguvu.

Ni maamuzi mazuri kuamua kuacha, Siku ya 21 Leo, Asante Mungu. Ukitaka kuacha kitu kibaya epuka kuwasikiliza wanao ona kuwa haiwezekani, jifunze kwa wanaoweza kukujenga kukushauri na kukutia moyo
 
leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.

Inawezekana, Inawezekana
Sasa utafute papuchi ya kudumu, sababu ganzi sio mchezo
 
Mkuu utakuwa umejipa likizo isiyo na malipo.Mi ki ukweli hii kitu siwezi kuacha ila huwa napumzika japo miezi 6 ni mimi tu kuamuwa.
 
....
JamiiForums-124468468.jpg
 
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.

Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.

*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.

*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu LA kutazama vitu vinavyopelekea kujichua kwa tamaa ila katika kutazama ndani nikakumbuka kuwa nilishasema No kwa Punyeto nikaacha na kuendeleza kazi za kuwa busy

*Nimejifunza kupuuzia wanaosema huwezi kuacha, hiyo huwa hawaachi, na wenye kukatisha tamaa.

*Nimeamua kujifunza na kusikiliza kwa walioacha, na wanaotamani kuacha na wenye maneno ya kutia nguvu.

Ni maamuzi mazuri kuamua kuacha, Siku ya 21 Leo, Asante Mungu. Ukitaka kuacha kitu kibaya epuka kuwasikiliza wanao ona kuwa haiwezekani, jifunze kwa wanaoweza kukujenga kukushauri na kukutia moyo
Hongera bro hio inaitwa sperm retention safi sana mkuu hapo unakuwa na macofindence kama yote,yaan furaha tele
 
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.

Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.

*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.

*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu LA kutazama vitu vinavyopelekea kujichua kwa tamaa ila katika kutazama ndani nikakumbuka kuwa nilishasema No kwa Punyeto nikaacha na kuendeleza kazi za kuwa busy

*Nimejifunza kupuuzia wanaosema huwezi kuacha, hiyo huwa hawaachi, na wenye kukatisha tamaa.

*Nimeamua kujifunza na kusikiliza kwa walioacha, na wanaotamani kuacha na wenye maneno ya kutia nguvu.

Ni maamuzi mazuri kuamua kuacha, Siku ya 21 Leo, Asante Mungu. Ukitaka kuacha kitu kibaya epuka kuwasikiliza wanao ona kuwa haiwezekani, jifunze kwa wanaoweza kukujenga kukushauri na kukutia moyo
Mimi na masaa nane tu, naomba nimalize siku nzima.
 
Kila la kheri mkuu
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.

Ninaendelea Kumshukuru Mungu kwa kila siku anavyonipagnia, Mambo Makubwa niliyoyafanya.

*Jumapili nilienda Kanisani nikatoa Sadaka ya Shukrani, pia Nikamuomba Mungu azidi kunisaidia kwa kuwa pekee yangu siwezi.

*Kuna wakati nilipitiwa kwenye jaribu LA kutazama vitu vinavyopelekea kujichua kwa tamaa ila katika kutazama ndani nikakumbuka kuwa nilishasema No kwa Punyeto nikaacha na kuendeleza kazi za kuwa busy

*Nimejifunza kupuuzia wanaosema huwezi kuacha, hiyo huwa hawaachi, na wenye kukatisha tamaa.

*Nimeamua kujifunza na kusikiliza kwa walioacha, na wanaotamani kuacha na wenye maneno ya kutia nguvu.

Ni maamuzi mazuri kuamua kuacha, Siku ya 21 Leo, Asante Mungu. Ukitaka kuacha kitu kibaya epuka kuwasikiliza wanao ona kuwa haiwezekani, jifunze kwa wanaoweza kukujenga kukushauri na kukutia moyo
 
leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.

Inawezekana, Inawezekana
Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto

Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya kuyaweza.

-Kwasasa hata nikikaa pekee yangu kwa muda siwezi kuwazawaza ujinga, na hata ukija napeleka mawazo kwenye shughuli za maisha

- Kila siku namuomba Mungu najua pekee yangu siwezi na ameniwezesha

-Nimepunguza vitu vya ushawishi vinavyochochea akshi.

-shughuli nyingi za kusoma na kikazi zimezidi kunifanya kuwa busy.

- Inawezekana Inawezekana siku 37 na bado nasonga. Unayeanza kuacha jua tuu Inawezekana nami nilianza kwa Massa 24 tuu kuacha nikaendelea hadi leo
 
Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto

Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya kuyaweza.

-Kwasasa hata nikikaa pekee yangu kwa muda siwezi kuwazawaza ujinga, na hata ukija napeleka mawazo kwenye shughuli za maisha

- Kila siku namuomba Mungu najua pekee yangu siwezi na ameniwezesha

-Nimepunguza vitu vya ushawishi vinavyochochea akshi.

-shughuli nyingi za kusoma na kikazi zimezidi kunifanya kuwa busy.

- Inawezekana Inawezekana siku 37 na bado nasonga. Unayeanza kuacha jua tuu Inawezekana nami nilianza kwa Massa 24 tuu kuacha nikaendelea hadi leo
Kongole mkuu, vip dem unapiga au kavu kavu mwez bila chochote
 
Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto

Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya kuyaweza.

-Kwasasa hata nikikaa pekee yangu kwa muda siwezi kuwazawaza ujinga, na hata ukija napeleka mawazo kwenye shughuli za maisha

- Kila siku namuomba Mungu najua pekee yangu siwezi na ameniwezesha

-Nimepunguza vitu vya ushawishi vinavyochochea akshi.

-shughuli nyingi za kusoma na kikazi zimezidi kunifanya kuwa busy.

- Inawezekana Inawezekana siku 37 na bado nasonga. Unayeanza kuacha jua tuu Inawezekana nami nilianza kwa Massa 24 tuu kuacha nikaendelea hadi leo
Hongera ukifika siku 600 nistue mkuu.
 
Tumeokoka siku hizi hatupigi mapuchu
Ingekua zamani ningeshapita na zuchu
Tumeokoka siku hizi hatutimbi na visu
Huo usela mavi hatutaki mabifu
 
Ni Siku 37 toka nimeacha kupiga Punyeto

Asante sana Mungu, nilijua inawezekana ila ukaniambia sio kwamba inawezekana tuu bali nitakuwezesha. Katika yote ninayopitia bado umeniwezesha. Pale hali zote za nje zinapoona kuwa siwezi, mazingira yakiona siwezi nikiyatazama na yatengenezea namna ya kuyaweza.

-Kwasasa hata nikikaa pekee yangu kwa muda siwezi kuwazawaza ujinga, na hata ukija napeleka mawazo kwenye shughuli za maisha

- Kila siku namuomba Mungu najua pekee yangu siwezi na ameniwezesha

-Nimepunguza vitu vya ushawishi vinavyochochea akshi.

-shughuli nyingi za kusoma na kikazi zimezidi kunifanya kuwa busy.

- Inawezekana Inawezekana siku 37 na bado nasonga. Unayeanza kuacha jua tuu Inawezekana nami nilianza kwa Massa 24 tuu kuacha nikaendelea hadi leo
Hongera sana Mkuu kwa kuonesha nidhamu kwa ulichodhamiria.

Jitahidi ufikishe siku 90 Tena jitahidi kuepuka ngono kwa hicho kipindi ili mifumo ya mwili iji reboot.
 
Hongera sana Mkuu kwa kuonesha nidhamu kwa ulichodhamiria.

Jitahidi ufikishe siku 90 Tena jitahidi kuepuka ngono kwa hicho kipindi ili mifumo ya mwili iji reboot.
Asante sana. Nazidi kumuomba Mzungu na kudhamiria nitafika nakuzipita nakuachana kabisa na zile addiction.
 
leo Siku ya 7, nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.

Inawezekana, Inawezekana
Subiri huyo house girl anayekusaidia kupoza ugumu ahame hapo nyumbani,,

Halafu tuletee marejesho ya kuacha punyeto.
 
Back
Top Bottom