Sio wananchi wa kawaida hadi kiongozi mkuu wa uingereza jeremy corbyn kaongoza maandamano kuipinga israel na ushetani wake , huyu ni mzungu, mkristo na kiongozi mkuu ila anasimamia haki , wewe unaongozwa na hisi as u have been brainwashedhao waandamanaji ni wahamiaji wa mashariki ya kati na amerika kusini walio against israel/USA. Mmarekani typically hana muda wa kwenda kuandamana kuunga mkono magaidi
ni mzungu pure au ni chotara? Ikifikia wazungu wote wa ulaya na amerika wawe waislam ndio tutajua sasa dunia imefikia mwisho, dola ya kiislam imeinuka, ukatoliki/ukristo utakuwa haupo duniani. Vatican na cantebury zitabaki ni historia tu, misikiti itakuwa mingi huko. Ni utawala wa ant christNa huyu pia alikuwa kama wewe tena alifikia hadi kuandika kitabu kuupinga uislamu akaishia kubadili dini sasa ni swala tano tena ni kiongozi wa juu uholanzi sio mbwiga kama wewe
Imetabiriwa kuwa dunia itaichukia israel na kufikia kuungana kwenda kuipiga kwa silaha kali mpaka afrika itapeleka jeshi lake huko. Kwa hiyo wazungu wakristo kuwa kinyume na israel si ajabuSio wananchi wa kawaida hadi kiongozi mkuu wa uingereza jeremy corbyn kaongoza maandamano kuipinga israel na ushetani wake , huyu ni mzungu, mkristo na kiongozi mkuu ila anasimamia haki , wewe unaongozwa na hisi as u have been brainwashed
Huyu ni mzungu pure , wewe ndio unachukulia personal vitu hivi vya dini civilized people wanaishi vizuri tu pamoja hadi kuamua kumchagua kiongozi muislam kitu ambacho najua kwa akili zako ungekuwa wewe upo scotland nchi yenye 99% christians usingekubali kuongozwa na muislamu, ila wazungu hawana roho mbaya kama za kwetu sisi watu weusi, sisi ndio tatizoni mzungu pure au ni chotara? Ikifikia wazungu wote wa ulaya na amerika wawe waislam ndio tutajua sasa dunia imefikia mwisho, dola ya kiislam imeinuka, ukatoliki/ukristo utakuwa haupo duniani. Vatican na cantebury zitabaki ni historia tu, misikiti itakuwa mingi huko. Ni utawala wa ant christ
unajuaje kama hana uhakika wa kula?Jionee huruma wewe ambaye huna uhakika wa kula
Tatizo ni haki huwezi ukawaweka watu kama jela halafu unawavunjia utu wao halafu uone ni sawa hawa wazungu wanaongozwa na utu wao ndio maana wanapinga kinachoendelea, hadi baadhi ya idf members hawafurahii kinachoendelea , huwezi kufurahia kuangamiza watu ndio maana wengi wao wanaishia kucommit suicide nafsi zinawasutaImetabiriwa kuwa dunia itaichukia israel na kufikia kuungana kwenda kuipiga kwa silaha kali mpaka afrika itapeleka jeshi lake huko. Kwa hiyo wazungu wakristo kuwa kinyume na israel si ajabu
Hawa wote wanasimamia utu na ubinaadamu , utakuwa mtu wa ajabu na usiyekuwa na hofu ya mungu kama unafurahia vifo vya wenzako au maonezi ya wenzakoImetabiriwa kuwa dunia itaichukia israel na kufikia kuungana kwenda kuipiga kwa silaha kali mpaka afrika itapeleka jeshi lake huko. Kwa hiyo wazungu wakristo kuwa kinyume na israel si ajabu
kwa mtindo huo wa haki waarabu/waislam nao wawe na utu. Makundi ya kiislam ya kigaidi waache kuteka na kuua watuTatizo ni haki huwezi ukawaweka watu kama jela halafu unawavunjia utu wao halafu uone ni sawa hawa wazungu wanaongozwa na utu wao ndio maana wanapinga kinachoendelea, hadi baadhi ya idf members hawafurahii kinachoendelea , huwezi kufurahia kuangamiza watu ndio maana wengi wao wanaishia kucommit suicide nafsi zinawasuta
sifurahii, kwa hiyo kitendo cha magaidi kufanya mashambulizi ni haki ila wakijibiwa si haki? Regardless dunia inasemaje magaidi wanyukwe tuHawa wote wanasimamia utu na ubinaadamu , utakuwa mtu wa ajabu na usiyekuwa na hofu ya mungu kama unafurahia vifo vya wenzako au maonezi ya wenzako
Yani kuna kitu lazima ukifahamu kama msomi huwezi kutawala sehemu yenye amani, ili malengo ya marekani yatimie ni lazima atengeneze vikundi kwa kuleta turbulence ili iwe rahisi kufikia malengo yao, congo vile vikundi vyote unavyoviona are heavily armed na wanalipwa na nchi za magharibi kwa zaidi ya karne,kwa mtindo huo wa haki waarabu/waislam nao wawe na utu. Makundi ya kiislam ya kigaidi waache kuteka na kuua watu
Eventually wataachiwa tu its just the matter of timeSawa, vipi yule mtanzania aliye miongoni mwa mateka wanaoshikiliwa na hamas. Kama hamas wanajali utu, huyo mtanzania wanamshikilia nini? Si wamuachie, kwani aliwakosea nini? Nchi yetu haina mtifuano na hamas
Unaona nilichokuwa nakwambia hawa islamic state ukiwa unajua dini ya kiislamu hawapendi wanataka mazoba ili yawa brainwash watimize malengo ya kuwepo kwaokwa mtindo huo wa haki waarabu/waislam nao wawe na utu. Makundi ya kiislam ya kigaidi waache kuteka na kuua watu
Sawa jiridhishe kwenye nafsi yako ila ukweli unaujua.hao waandamanaji ni wahamiaji wa mashariki ya kati na amerika kusini walio against israel/USA. Mmarekani typically hana muda wa kwenda kuandamana kuunga mkono magaidi
Alikuwa amekariri matheolojia tu hakuwa na Mungu ndani yake.Na huyu pia alikuwa kama wewe tena alifikia hadi kuandika kitabu kuupinga uislamu akaishia kubadili dini sasa ni swala tano tena ni kiongozi wa juu uholanzi sio mbwiga kama wewe
Yesu ni mtume tu wa mungu hata hao jews unaowapenda wanaamini hivyo, huwezi kumuabudu mtume wa mungu na kusema eti mungu ana mama, karibu kwenye dini ya haki , hata wwew ukiingia na kufanya research utaishia kuwa muislamu tu hakuna namnaAlikuwa amekariri matheolojia tu hakuwa na Mungu ndani yake.
Ilikuwa maktaba kubwa mfu.
Njoo kwa Yesu akuokoe na jehanamu.
Mkuu, basi mimi nikajua wewe Saidn-ali ndo mwenyewe.Kwa ufupi Mimi siwapendi Waarabu na Waislam.
Wana roho mbaya sana
Wewe ni muongo.EliNyaU EliNyahu Cohen no ni typing error ni sahihi ni Eliyahu Cohen.
Jihadi katika uislamu ni kitu kipana na kina sheria zake na condition zake na usichukilie hayo yakina Boko Haram ,ISiS nk kuwa wapo katika Jihad.
Mihemko mingine imejitokeza katika uzi wako kuweka aya za Qu'ran kama Gazeti bila kujua misingi ya hizo aya hilo ni kosa kubwa hata kwenye Bible nikitumia msingi kama ukitimia wewe nitaweka contradiction nyingi sana ambazo hautaweza kuzitetea.
Umeshakuwa miongoni mwa genge la Maghayo The Mongo kufuata mambo kishabikiView attachment 2806036