Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ningetamani AD aje GSW [emoji1] .yule dogo mbaya sana kule pelicans anapoteza muda tu.I know. Na kweli inaua ushindani. Ila ili kushindana na GSW toe-to-toe na knuckle-to-knuckle, inabidi kuunda superteam. Vinginevyo NBA inabidi watunge sheria za kudhibiti hili.
Imagine Cavs wanampata AD au PG!
Ukimtoa KD, GSW wasingekuwa na chance this time mbele ya Cavs! Superteam si lazima itonekana na wachezaji ambao hawakuwa drafted na timu husika!Mnachosahau kusema ni kwamba, super team ya Warriors imejiunda yenyewe.. Only KD ndiye amekuwa addition na wengine wote walikuwa drafted na hiyo timu.. Hivi katika your 5 starters mliowadraft ni wangapi? Hiyo inayoitwa imetengeneza super team 3 of their best starters walikuwa drafted na hiyo timu..
Super team ya Warriors imejitengeneza, haijatengenezwa.. Haya sasa kazi kwenu kutengeneza yenu..
Aisee!Ningetamani AD aje GSW [emoji1] .yule dogo mbaya sana kule pelicans anapoteza muda tu.
Ndo maana nasema alifuata mteremko.Bro kila MTU anakula kwa urefu Wa kamba yake .
Unaweza kujaza mastaa wakaishia kulambwa na wachimbachumvi.
Pale GS ni huyo KD tu wakuja.
Wengine wote walipata moto wakiwa pale.
Sasa mzee hizo zitakua kufuru...Ningetamani AD aje GSW [emoji1] .yule dogo mbaya sana kule pelicans anapoteza muda tu.
Kuna historia watu wanasahau sijui kama ni kwa makusudi au vipi...GSW ilipotwaa ubingwa mwaka 2015 haikuwa na mchezaji yeyeote aliyeweza kuitwa supastaa, la hasha! Ilikuwa ni timu pekee iliyoweza kutwaa ubingwa bila mchezaji yeyote aliyewahi kucheza finali! Je GSW kuwa super team ni kwa sababu ya KD tu au vipi?Bro kila MTU anakula kwa urefu Wa kamba yake .
Unaweza kujaza mastaa wakaishia kulambwa na wachimbachumvi.
Pale GS ni huyo KD tu wakuja.
Wengine wote walipata moto wakiwa pale.
Hahahahahah mkuu spend the money get the money and everything.Sasa mzee hizo zitakua kufuru...
Ndipo hapo sasa .Kuna historia watu wanasahau sijui kama ni kwa makusudi au vipi...GSW ilipotwaa ubingwa mwaka 2015 haikuwa na mchezaji yeyeote aliyeweza kuitwa supastaa, la hasha! Ilikuwa ni timu pekee iliyoweza kutwaa ubingwa bila mchezaji yeyote aliyewahi kucheza finali! Je GSW kuwa super team ni kwa sababu ya KD tu au vipi?
Amekumbana na 3 blocks from KD...Wazeee wa sifa wanakimbia Podium
Nani huyo hakuliona hilo? Toka KD kaenda GSW, watu wamesema sana juu ya hilo. Ndiyo maana ati wengine wanasema Cavs inacheza dhidi ya WC All-stars!Naona sasa watu wanaanza kuchukia uwepo Wa KD pale GSW wakati msimu unaanza hii swala hawakuliona.
Naona sasa watu wanaanza kuchukia uwepo Wa KD pale GSW wakati msimu unaanza hii swala hawakuliona.
Juzi walilalamikia turn-overs kuwa ndizo ziliwa-cost CAVs game. Leo GSW ndio wameongoza kwa turn-overs na bado wakafunga zaidi ya juzi. Kumbe turn-overs don't matter that much...Hahahahahah mkuu spend the money get the money and everything.
No matter what!?
Naona sasa watu wanaanza kuchukia uwepo Wa KD pale GSW wakati msimu unaanza hii swala hawakuliona.
Ila baada ya Two defeats za playoffs na kuona no future hope to come ,buddies mnaanza kulalamika.
Mazee mnazingua.
Kama sikosei wakati KD anatua GSW kuna kiumbe humu jukwaani aliponda kwa kusema choker anaenda kuungana na chokers wenzake...Hahahahahah mkuu spend the money get the money and everything.
No matter what!?
Naona sasa watu wanaanza kuchukia uwepo Wa KD pale GSW wakati msimu unaanzaii swala hawakuliona.
Ila baada ya Two defeats za playoffs na kuona no future hope to come ,buddies mnaanza kulalamika.
Mazee mnazingua.
Hakuna analialia...kwani ni uongo GSW ni superteam? The most stacked NBA team in history?Juzi walilalamikia turn-overs kuwa ndizo ziliwa-cost CAVs game. Leo GSW ndio wameongoza kwa turn-overs na bado wakafunga zaidi ya juzi. Kumbe turn-overs don't matter that much...
Nzi
, [B]Raimundo[/B] acheni kulialia na vijisababu vya ajabu ajabu.
Alikuwa anapumulia masikioni mwishoni mwa q3Amekumbana na 3 blocks from KD...
Wamuache mzee wa watu akajipumzikie bhana..!
Hahahahaha eti chokers embu mtafute mwekee hiyo comment alambe matapishi yake.Kama sikosei wakati KD anatua GSW kuna kiumbe humu jukwaani aliponda kwa kusema choker anaenda kuungana na chokers wenzake...
Ila sasa hivi imekua story tofauti tena...
Binadamu hawaeleweki bradha..!
[HASHTAG]#TuendeleeKuwepo[/HASHTAG]
Hehehe kila record ni ya GSW zingine mmeanza kuwapa wenyewe.Hakuna analialia...kwani ni uongo GSW ni superteam? The most stacked NBA team in history?
Anyway, taulo jeupe bado halijatupwa!