NBA 2016/2017 Season Special Thread

NBA 2016/2017 Season Special Thread

Dah siamin kama tumepigwa hadi home court
Tatizo akina Kyrie Irving walikua wanashangilia kwa kejeli sana...
Na hizo kejeli ndio zimemfanya Durant awapasue dakika za mwishoooo kabisa...
Kyrie na wenzake wangekua wanashangilia kwa adabu haya yote yasingetokea..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StrengtInNumberz[/HASHTAG]
 
Raimundo see u again game 4 at your room [emoji12] ( usinimaindi bro[emoji1] )

Bro mimi ni mshabiki wa sports mpaka zile za kwenye vibanda umiza, kuna maneno kule usipime.

Simba wameharibu ubingwa, nikategemea kina LBJ wataninyanyua ila naona kabisa leo hawajanitendea haki.
 
Ndiyo hizo nazisemea Mkuu, hakukuwa na umakini kabisa pamoja na umuhimu mkubwa wa huu mchezo wa leo. Nimemshangaa Lebron hasa dakika za mwisho.

Kuna possessions za last minute zilikuwa za kizembe sana.
 
Bro mimi ni mshabiki wa sports mpaka zile za kwenye vibanda umiza, kuna maneno kule usipime.

Simba wameharibu ubingwa, nikategemea kina LBJ wataninyanyua ila naona kabisa leo hawajanitendea haki.
Usijali bro may be mtafanya maajabu ya mwaka jana usijali sana[emoji12]
 
Kumbe na wewe umeliona hilo, halafu lue akiongea wanasema ni excuse! hii game kama mambo yataendelea itaharibika.
Halafu wenyewe wakija Quicken loan wakifanyiwa unfair decision kama hizi kinakuwa ndio kisingizio.

Hawa marefa wasituharibie fainali
Vipi wakuu...
Leo marefa walikua fair..!?
I mean no offense, just askin..!
Cc
Mag3
 
Ndiyo hizo nazisemea Mkuu, hakukuwa na umakini kabisa pamoja na umuhimu mkubwa wa huu mchezo wa leo. Nimemshangaa Lebron hasa dakika za mwisho.

Nitaangalia highlights za dakika ya mwisho nione imekuwaje tena, isije kuwa kina LBJ wamenunuliwa.
 
Ha ha ha, Durant katubania mkuu.

Anafanya kama vile ni ugomvi.
Hahahahhaha huyu jamaa mbaya sana .

Nafikiri labda anamkomoa Rihana kwamba mfalme wake si lolote si chochote.

Halafu usijekusikia mshikaji baada ya playoff anamkaza rihanna

Hawa mastaa mbwa sana[emoji53]
 
Back
Top Bottom