NBA 2016/2017 Season Special Thread

Lakers walivyo wazembe watapoteza hii game. Smh
 
Nilikuwa sipo lakini duh, GSW naona wanafundishwa Basketball na ndugu zao wa LA. Yaani mtu anachapwa bila huruma! 113-93! mpaka sasa...!
 
It is over...! 117-97, Lakers wanatoka uwanjani kifua mbele!
 
Nilikuwa sipo lakini duh, GSW naona wanafundishwa Basketball na ndugu zao wa LA. Yaani mtu anachapwa bila huruma! 113-93! mpaka sasa...!

😀😀😀😀😀

How bout them Lakers....
 
Lakers [emoji122][emoji122][emoji122]
 
GSW ni kama Leceister City!!!!!!......Msimu huu ni kichwa cha mwendawazimu kila mtu ananifunzia kunyoa hapo
 
Nilikuwa sipo lakini duh, GSW naona wanafundishwa Basketball na ndugu zao wa LA. Yaani mtu anachapwa bila huruma! 113-93! mpaka sasa...!

Mtani mwaka mmeuanza vibaya,

Kuna kitu nimekiona kwa hizi game chache mlizoanza nazo, KD ana ichukua timu kutoka kwa waliokuwa wamiliki ambao ni Curry, Klay T na Green. KD na Klay wote wawili siyo good team players kama alivyo Curry na Green, ni watu wanaotakiwa kulishwa zaidi kuliko kuwalisha wenzao.

Starters wenu wote ni offense minded, so defense mko shallow.

Ngoja kwanza nione mnajitoaje kwenye hili janga, Curry u-MVP ausahau na kwa kinachoenda kuwatokea mtajuta kumleta KD.
 

Nimefurahi sana GSW kupoteza game hii.......!

akina LeBron wanacheza lini ili nitazame game yake...?
 


A father buys a lie detector robot that slaps people when they lie.

He decides to test it out at dinner one night. The father asks his son what he did that afternoon.

The son says, "I did some schoolwork."

The robot slaps the son.

The son says, "Ok, Ok. I was at a friend's house watching movies."

Dad asks, "What movie did you watch?"

Son says, "Toy Story."

The robot slaps the son.

Son says, "Ok, Ok, we were watching porn."

Dad says, "What? At your age I didn't even know what porn was."

The robot slaps the father.

Mom laughs and says, "Well, he certainly is your son."

The robot slaps the mother.

Robot for sale.

Edit: the robot slapped 4 times. 3 total for the father and son, 1 for the mother.
The Warriors blew a 3-1 lead.
 
Some nasty shit on David West! He got posterised by Larry Nance Jr.


He likes posterising them Warriors; did this to Ezeli last season

 

Jamaa waliipania sana ile gemu ya OKC hadi nahisi wakasahau kuwa kesho yake wana gemu ingine na Lakers.

Matokeo yake ni blowout!
 
Mkuu nilishakwambia umechagua Fungu la kukosa.

Njoo Cavs uinjoi maushindi.
Ahahaaaah...
We acha tu mkuu...
Hakuna siku ambayo nimeumia kama leo,ingawa si mara ya kwanza kushuhudia GSW ikila kipigo...
Ila kipigo cha leo kimeniumiza vibaya mno...
Hata hivyo sijutii kuishabikia GSW,Nitaendelea kuishabikia mpaka MWISHO...!
 
Steph na Klay wakiendelea kucheza kwa kiwango kama cha leo,basi msimu huu tutapigwa kama MBWA..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…