NBA 2016/2017 Season Special Thread

NBA 2016/2017 Season Special Thread

Naelewa hii ni playoff kaka. Ila kama unatazama mechi vizuri utaelewa upande wa West competition ni ngumu sana. Ukiangalia Rockets yupo onfire lazima atapita kwa OCT na akipita lazima akutane na kikombe cha SAS. hapo akitoboa kwa mtazamo wangu naamini atapita tu kwa GOLDEN. East kwa mtazamo wangu naona kupo kawaida tu, on paper clev anapewa nafasi East 7bu kule upinzani upo kawaida sana. Huo ni mtazamo wangu navyoziangalia hizi mechi, kama nimechanganya nielimisheni.
 
Mimi nimeuliza ni nani unamtabiri kutoa Cavs East?
Raimundo mzee wa cavs. Ngoja tuone game 3 na Indiana itakuwaje maana mm cavs siwaamini kabisa msimu huu. Akipigwa game3 ujue Lazima itaenda game 4 anyweshwe tena.
 
Naelewa hii ni playoff kaka. Ila kama unatazama mechi vizuri utaelewa upande wa West competition ni ngumu sana. Ukiangalia Rockets yupo onfire lazima atapita kwa OCT na akipita lazima akutane na kikombe cha SAS. hapo akitoboa kwa mtazamo wangu naamini atapita tu kwa GOLDEN. East kwa mtazamo wangu naona kupo kawaida tu, on paper clev anapewa nafasi East 7bu kule upinzani upo kawaida sana. Huo ni mtazamo wangu navyoziangalia hizi mechi, kama nimechanganya nielimisheni.

Rockets anaweza akawatikisa spurs ila kupita kwa warriors itakua ngumu. na kila m2 anatarajia cavs kufika finals bcoz of lebron, ukimtoa lebron east hamna kitu.
 
Rockets kwa Spurs ni mlima mkuu, this Spurs hata nyie (GSW?) mnakaa mapema sana.
Mm utabiri wangu mechi kati ya SAS na ROCKETS atakayepita ndio atakua bingwa.
Mimi nishasema mapema kuwa fainali ni spurs vs cavs.
Inaonekana timu zinazopewa nafasi ni tatu tu, CAVS, Rockets na Spurs...is this just an incidence, coincidence or conspiracy per se? To leave out the season leaders...is this intentional, deliberate or just mendacious? Mmmh, let us face some facts here...

GSW leads in;
  • points per game
  • field goal percentage
  • assists per game
  • blocks oer game
  • steals per game
SAS leads in;
  • three point percentage
Houston Rockets leads in;
  • three pointers made
CAVS leads in;
  • ???
Sasa watu mnapoamua kutowapa hata kajinafasi GSW...ain't this wrong, disingenuous and perjurious? Now, are we to assume that GSW fluked their way to top the season? Phew!
 
Raimundo mzee wa cavs. Ngoja tuone game 3 na Indiana itakuwaje maana mm cavs siwaamini kabisa msimu huu. Akipigwa game3 ujue Lazima itaenda game 4 anyweshwe tena.

Ni msimu gani umewahi kuwaamini Cavs?
 
CAVS leads in;
  • ???
Sasa watu mnapoamua kutowapa hata kajinafasi GSW...ain't this wrong, disingenuous and perjurious? Now, are we to assume that GSW fluked their way to top the season? Phew!

Tatizo lako ni ushabiki wa kupenda attention, unataka muda wote timu yako ikae midomoni mwa watu kwa kupewa sifa.

Huu mwaka Finals mtatuangalia tunavyokimbizana na Spurs mkuu.
 
Tatizo lako ni ushabiki wa kupenda attention, unataka muda wote timu yako ikae midomoni mwa watu kwa kupewa sifa.
Ha ha haa [B]Raimundo[/B]! Sidhani hata kama umeelewa nilichokiandika na swali nililoliuliza...hivyo narudia, kwa nini GSW hamuipi hata kanafasi ka kuingia fainali?
Huu mwaka Finals mtatuangalia tunavyokimbizana na Spurs mkuu.
Unaona sasa...yaani kwenye hii hesabu GSW haipewi nafasi hata kwa kubahatisha kweli!
 
Inaonekana timu zinazopewa nafasi ni tatu tu, CAVS, Rockets na Spurs...is this just an incidence, coincidence or conspiracy per se? To leave out the season leaders...is this intentional, deliberate or just mendacious? Mmmh, let us face some facts here...

GSW leads in;
  • points per game
  • field goal percentage
  • assists per game
  • blocks oer game
  • steals per game
SAS leads in;
  • three point percentage
Houston Rockets leads in;
  • three pointers made
CAVS leads in;
  • ???
Sasa watu mnapoamua kutowapa hata kajinafasi GSW...ain't this wrong, disingenuous and perjurious? Now, are we to assume that GSW fluked their way to top the season? Phew!
Mkuu...
Ukikosa wa kukuchekesha si dhambi kuitafuta hiyo fursa kwa kujitekenya mwenyewe..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
 
Mashabiki wa Cavs punguzeni kujifanya manabii..!
Just focus on how you would beat Bulls..!
Kwasasa punguzeni kuifikiria GSW..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom