Uliza Nkujibu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 806
- 640
naona kerr kashausoma mchezo.Duh, sasa afadhali 43-45!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona kerr kashausoma mchezo.Duh, sasa afadhali 43-45!
You used to have facebook account 6 or 7 years ago.. Anyway hiyo sio kesi..Natumaini hukumaanisha kwamba unanijua mimi in real life. Kama ndivyo ulivyomaanisha, I dare you to say it. Hata hiyo Facebook account yenyewe sina.
Kuhusu Cavs' fans. Kama ulisoma nilichokisema, nilisema wachezaji wapo relaxed. Sikusema fans wa Cavs wapo relaxed. Wachezaji na Coach Lue wanajua wanachokifanya, who are to you judge? What are your profiles as b-ball players?
Yaani ushabiki wa design hiyo ni wa kitoto sana. Kujifanya u-much know kuliko wachezaji na coaching staff walio na access na all training facilities na materials. Nyiye mnatumia hisia ku-evaluate teams!
this game is [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]I cant believe it...GSW on the warpath leading 67-61!
Bado unaongea kwa hisia mzeeee. Sijawahi kuwa na Facebook account. Nimekuruhusu unitaje, vipi una chicken out?You used to have facebook account 6 or 7 years ago.. Anyway hiyo sio kesi..
So Cavs blew first seed on purpose? Na hicho wanacho train kwanini wasingekifanyia majaribio kwenye good teams kama Rockets na Spurs? Kwahiyo they want to surprise us on play offs? Sawa ndugu yangu Nzi
From lagging 3-25 early in the game to a comfortable win of 110-98! GSW pulverizes San Antonio Spurs in their home court, wow!Spurs wamechoke hii game.
Ngoja nikuache na ubishi wako wa kitoto...Bado unaongea kwa hisia mzeeee. Sijawahi kuwa na Facebook account. Nimekuruhusu unitaje, vipi una chicken out?
Blew up 1st seed kivipi? Kwani regular season imeisha? Bado kuna 9 games.
Who are you kuuliza juu ya tactics zao? Nimekuuliza hili swali muda wote, lakini unalikimbia!! Una basketball profile ipi ku-deserve asking such a question?
Kwani wewe nzi una basketball profile ipi kudeserve kutoa opinion.Bado unaongea kwa hisia mzeeee. Sijawahi kuwa na Facebook account. Nimekuruhusu unitaje, vipi una chicken out?
Blew up 1st seed kivipi? Kwani regular season imeisha? Bado kuna 9 games.
Who are you kuuliza juu ya tactics zao? Nimekuuliza hili swali muda wote, lakini unalikimbia!! Una basketball profile ipi ku-deserve asking such a question?
Wow, mwisho wa siku tumeondoka ugenini na ushindi with a 3.5 games cushion to cruise on.
I told you, soon tutaanza ona back-and-forth za kina Steph Curry na Nzi au Raimundo na GSW stalwarts wa huku ndani. All in all we are all gentlemen, so no bad blood, no love lost.
Mazee wenzangu wa GSW, congrats!.
He he he...warriors are getting raped ryt now
Wanasemaga...teh teh teh teh teh
Ila Steph mtu mbaya sana... kawaburuza MVP candidates wao wote kuanzia Russ kaja kwa Harden na leo kammalizia Kawhi.. teh teh teh Steph sio fair kabisa ulichowafanyia..
![]()
....natoa opinions ambazo hazi-question maamuzi ya wachezaji na coaching staff. Wao wana all the facilities na materials kufanya maamuzi. Hivyo wana nafasi nzuri zaidi ya kuamua nini wafanye, kuliko mimi au wewe kupanga timu ifanye hivi.Kwani wewe nzi una basketball profile ipi kudeserve kutoa opinion.
....hakuna jipya. Last year you had 73-9 record, and I don't think if you would like to be reminded about what happened in the Finals.Wow, mwisho wa siku tumeondoka ugenini na ushindi with a 3.5 games cushion to cruise on.
I told you, soon tutaanza ona back-and-forth za kina Steph Curry na Nzi au Raimundo na GSW stalwarts wa huku ndani. All in all we are all gentlemen, so no bad blood, no love lost.
Mazee wenzangu wa GSW, congrats!.