NBA 2016/2017 Season Special Thread

NBA 2016/2017 Season Special Thread

Hahahahahah mkuu spend the money get the money and everything.

No matter what!?

Naona sasa watu wanaanza kuchukia uwepo Wa KD pale GSW wakati msimu unaanza hii swala hawakuliona.

Ila baada ya Two defeats za playoffs na kuona no future hope to come ,buddies mnaanza kulalamika.

Mazee mnazingua.
Hilo lingeweza kutokea kama GSW angepoteza fainali ya mwaka huu...nimetumia angepoteza kwa sababu sizioni dalili za CAVS kuweza kurud na kushinda hii fainali kama ilivyotekea mwaka jana
 
Spot on, I actually think they are gonna prove how stupid and insignificant their decision was very soon.

It's obviously known the last season's warriors were better way than this overhyped one. Failure to ameliorate their record despite the addition of KD proves to us beyond the doubt Warriors have a slimmest chance ever to clinch the NBA victory in this June.
Teh...
[HASHTAG]#TuendeleeKuwepo[/HASHTAG]
 
Hivi humu JF hakuna mpenzi hata moja wa CAVs mwenye uungwana wa kutupongeza? Naona tu malalamiko, mara super team, mara super stars, mara GSW kubebwa, mara TO, mara...jamani at leat congratulate us for today's game hata kama tume-fluke na siye tujsikie. Mimi ahadi yangu ni kwamba mkitufunga nitakuwa wa kwanza kuwapa pongezi nyeupeee bila doa! 14-0 post regular si mchezo, haijawahi kutokea katika dunia hii!
 
Taja timu iliyokuwa na 4 all-stars na two MVPs kwenye starting 5!

[HASHTAG]#KDisthedifference[/HASHTAG]
Ndo maana nikasema hizi record Nyingine zinakuja ghafla tu bin vuuu mnazitengeneza na kuzipromoti wenyewe.

Mkuu endelea kufurahia mchezo .

Aisee basketball ni tamu .
 
Mazigazi
Mag3
Unaikumbuka hii..?
Hahahahahahahah nimecheka kweli Nzi bhana sasa why yuko hivi[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12]

Hahaha nzi umemwona choker KD na choking roaster sasa imekuwaje imekuwa "Superteam" hahahaah

Nimecheka kweli.


[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nzi umezingua bro[emoji3]
 
Hahahaaa watu mnafukua makaburi ya zamani?

Lakini kwani uongo kuhusu KD ku choke msimu ulopita na GSW nao ku choke?

😀
When chokers became superteam[emoji23] [emoji14]
1206d1e74091facfa46020de4934a5f1.jpg
 
Hahahahahahahah nimecheka kweli Nzi bhana sasa why yuko hivi[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12]

Hahaha nzi umemwona choker KD na choking roaster sasa imekuwaje imekuwa "Superteam" hahahaah

Nimecheka kweli.


[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nzi umezingua bro[emoji3]
Yes, they both choked! Series hii haijaisha! Hivyo, still maneno yangu yanaweza kuwa sahihi hata kwa msimu huu!
 
Contribution ya Kd pale Warriors Iko wazi!Offensively and defensively!Maana hizo blocks sio mchezo!
 
This is the funniest I have heard today from a Warrior's fan...

When you play the Warriors,
they either beat you their way
or they beat you your way.
It is all for you to choose
which way you waana get beaten.
In the first game they beat the CAVs the Warriors way
and in the second they beat them the CAV's way!
Ha ha haaa...!
 
Back
Top Bottom