Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Wameanza kwa mkwara... Wanataka kuukimbia mfagio teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We will see...Huh! This game is over in the 1st quarter? 😵😵😵
Broh...mmmmhh hawa warriors wanataka wakamalizie game Oakland nini??
Hakuna muujiza wa kushinda hii game..Broh...
Mbona game bado mbichi kabisa hii...
KD na Curry hawana hata point moja...
Sawa kaka...Hakuna muujiza wa kushinda hii game..
12??GSW 42 CAVS 54
Hakuna kitu kibaya kama kupigana na mtu ambaye hana cha kupoteza.. Warriors wanatakiwa kuwa makini, wasikubali kabisa kugive up hii game..