NBA 2017/2018 Season Special Thread

NBA 2017/2018 Season Special Thread

Who will emerge as NBA Champion in 2018?

  • Golden State Warriors

    Votes: 9 64.3%
  • Clevelands

    Votes: 2 14.3%
  • Oklahoma City Thunders

    Votes: 2 14.3%
  • Boston Celtic

    Votes: 0 0.0%
  • San Antonio Spurs

    Votes: 0 0.0%
  • Houston Rockets

    Votes: 1 7.1%

  • Total voters
    14
  • Poll closed .
Naona haka kajamaa ka TJ McConell kako firee.
Nadhani Philly wanataka series ikaishie Boston si nyumbani.kwao
 
Cavs wanaelekea kuwasubiria Celtics kwenye conference finals
 
No 1 Top seed kweli anapigwa sweep!!Aibu kwa wazee wa WeTheNorth

Juzi aliitwa LeBronto, leo ni LeBroom.

Jamaa anaendelea kufanya surprise kwa wapinzani, mwanzo wa hizi pre season watu walimfuta kabisa jamaa kwenda finals.
 
To those who wrote him off after losing game 1, then 3 to Pacers it is yes.
Tegemeo langu la lebron kutoka lilikuwa ni Pacers ambao ni timu changa sana kwake.
Na marefa waliwaua sana madogo.
Ila Raptors hata sku wategemea, tena kama baada ya game 1 ndio nikajua wana shda ya kisaikolojia kwa lebron.
 
Unaweza kusema key plays ambapo marefa waliwauwa Pacers?
Game five
Last seconds goaltending ya lebron , ile ndio iliua series yote, kama ma refa wasinge zingua Pacers walikuwa wana shinda
Hapo bado kuna game 2 na 7 pa ers walikuwa wanatafutiwa fauls zisizo na vichwa wala miguu.
Ile series maamuzi mabovu yali iharibu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Game five
Goaltending ya lebron , ile ndio iliua series yote,

Je, vipi refa ku-miss out of bound call few seconds kabla ya hiyo goal-tend call?
Angalia hii clip, utaona mpira ulimgusa Young na kugonga mstari wa nje, ndipo ukagonga Bron. Lakini ulikuwa umeshatoka nje kabla ya kumgonga Bron.



kama ma refa wasinge zingua Pacers walikuwa wana shinda

Hii ni excuse ambayo imeshapitwa na wakati. Kwa hiyo marefa ndiyo walimfanya Oladipo a-shoot 5/20 kwenye game 4, tena homecourt? Je, marefa walimfanya Oladipo a-shoot 2/15 kwenye game 5?

Hapo bado kuna game 2 na 7 pa ers walikuwa wanatafutiwa fauls zisizo na vichwa wala miguu.
Ile series maamuzi mabovu yali iharibu
Kuwa specific, usi-generalise kama mlevi tu. Taja exact plays.
 
Je, vipi refa ku-miss out of bound call few seconds kabla ya hiyo goal-tend call?
Angalia hii clip, utaona mpira ulimgusa Young na kugonga mstari wa nje, ndipo ukagonga Bron. Lakini ulikuwa umeshatoka nje kabla ya kumgonga Bron.





Hii ni excuse ambayo imeshapitwa na wakati. Kwa hiyo marefa ndiyo walimfanya Oladipo a-shoot 5/20 kwenye game 4, tena homecourt? Je, marefa walimfanya Oladipo a-shoot 2/15 kwenye game 5?


Kuwa specific, usi-generalise kama mlevi tu. Taja exact plays.
The dumb arguement ni kuwa kila kitu kingebadilika kabla ya kabla ya maamuzi.
Goaltebding was the match decider, it had the last impact of the match so it weighs more.
Kipindi cha series sku wepo ningekuwa na argue that time, yaan siwez kuchukua kila faulo na advantage alopewa lebron. nikuletee wewe eti kisa niprove kwako kuwa marefa waliiua series.
Hakuna haja ya kuitana walevi its just basket ball mjomba.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nakumbuka reaction ya baadhi ya wacheza wa NBA maamuzi mbali mbali kwenye hizi playoffs na baadhi kudai kuwepo na accountability ya umpire pale wanapofanya maamuzi yenye makosa. Mie naunga mkono hoja itasaidia kuongeza umakini wa umpire/referees.

The dumb arguement ni kuwa kila kitu kingebadilika kabla ya kabla ya maamuzi.
Goaltebding was the match decider, it had the last impact of the match so it weighs more.
Kipindi cha series sku wepo ningekuwa na argue that time, yaan siwez kuchukua kila faulo na advantage alopewa lebron. nikuletee wewe eti kisa niprove kwako kuwa marefa waliiua series.
Hakuna haja ya kuitana walevi its just basket ball mjomba.
 
Nakumbuka reaction ya baadhi ya wacheza wa NBA maamuzi mbali mbali kwenye hizi playoffs na baadhi kudai kuwepo na accountability ya umpire pale wanapofanya maamuzi yenye makosa. Mie naunga mkono hoja itasaidia kuongeza umakini wa umpire/referees.
Namu naunga mkono itakuwa decision nzuri sana
hii ishu ya refs nimeona hata kwenye football refs wanakuwa erratic sana
Na errors nyingi zina wa cost underdogs. Sema sometimes ndio zina tupa mabishano ya kupamba mchezo kiaina.
 
1st q
Na jazz arent even looking good

Nadhan tusubiri tu Warriors na rockets
 
Jazz are out
CP3 is on fire, ameongeza nguvu sana kwa Rockets. Conference finals ROCKETS Vs GSW zitakuwa nzuri sana
 
Back
Top Bottom