NBA Original Thread: Basketball & Fun

Natamani kuzijua sheria za basketball [emoji459], sijui kabisa, japo huwa naangalia sana.......
Ni nyingi ila tutaanza zile basic...

-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)

-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.

-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)

-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.

-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.


Etc......
 
Mchezo wa Basketball unachezwa ndani ya vipnd 4...vnaenda kwa majna ya quarter na kila quarter ina dakika 12

Basketball inachezwa na wachezaji wa 5 kwa kila upande.

Inaruhusiwa kubadil wachezaji wote wa 5 .

Kocha anaruhusiwa kuomba mchezo usimame ili aongee na wachezaji wake (tunaita Time Out)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…