NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Naangalia mchezo kati ya Spurs na Mavericks. Nilidhani Spurs watapata mteremko lakini naona mechi inaweza kwenda kwa timu yeyote na kama Mavericks watashinda watakuwa wamesteal home advantage from the Spurs. Najua mwaka HUU NBA Finals ni kati ya Cleveland na Los Angeles, ningependa sana Cleveland washinde ili King James naye apate ring, lakini Kobe na Lakers wanauzoefu mkubwa kuliko Cleveland hivyo wana nafasi kubwa ya kushinda. Wanaanza 4th quarter in few minutes wakiwa wametie 74-74.
 
Dallas Mavericks wameshinda kwa 105-97
 
NBA mwakani labda itawaha moto apa TZ maana kutakuwa na mark yetu huko labda itaamsha ari ili nao uwe no 2 after faball
 
BAK ni kweli Lebron James anatakiwe apate ring but kazi wanayo
 
Mechi nzuri ilikuwa kati ya Boston na Bulls na dallas na spurs kwa jumamosi kwangu mimi then jana Lakers babe all the way!
 
NBA mwakani labda itawaha moto apa TZ maana kutakuwa na mark yetu huko labda itaamsha ari ili nao uwe no 2 after faball

hahaha i can see hasheem going very far kwenye NBA.ila asiingie na ego zile za kiafrika afrika,so far anaweza kuchukuliwa na Memphis (40%) na close out yake inaweza ikawa 5mil for a start!
 
Duh!! Mimi na Basketball kushoto, ila naona my team Atlanta Hawks lazima wawafundishe Heat kisomo...!!
 
Duh!! Mimi na Basketball kushoto, ila naona my team Atlanta Hawks lazima wawafundishe Heat kisomo...!!

Game ya jana ya Hawks na Miami sikuiona sijui matokeo yalikuwaje.

Naona Kesho Detroit na Cleverland ita suck tuu kama ya jumamosi Detroit wameshachoka sasa.
 
Game ya jana ya Hawks na Miami sikuiona sijui matokeo yalikuwaje.

Naona Kesho Detroit na Cleverland ita suck tuu kama ya jumamosi Detroit wameshachoka sasa.

Zama za Detroit kutesa zishafika mwisho, Hawks walishinda jana 90-64.
 
Zama za Detroit kutesa zishafika mwisho, Hawks walishinda jana 90-64.

Ila Hawks ilikuwa mbovu sana zamani.
Unajua team ikishakuwa inamtegemea mtu mmoja tuu ni tatizo sana kama cavalier akiondoka Lebron wamekwisha siyo kama Lakers.Ile team imekamilika kabisa na siyo kama wanamtegemea Kobe peke yake,Though Kobe ni unbeatable kwenye NBA playoffs.
 
..fainali itakuwa Cleveland vs Lakers.

..Cleveland watashinda, lakini kwa kubebwa na ma-referee.

..Kobe Bryant is more skilled than any player currently in the NBA, lakini ana damu ya kunguni. wapenzi wa basketball, pamoja na waandishi wa habari, hutokea kumchukia tu bila sababu yoyote ya msingi.
 

Cleveland hawashindi ubingwa....
 
hao cleveland wameanza playoffs kwa mrengo wa kushoto lost to hao mliowaita kuwa kwa sasa ni shikamoo jazz detroit..yaani nitawacheka sana kwa moto wote they had msimu mzima alafu ndio uwe mwisho wao hao kina le bron
 
besides naona pia timu zingine zilizotisha kwenye regular season nazo zimeanza vibaya kama kina orlando,boston, miami!!!

ol i can tabiri ni kwa lakers kuingia fainali from west
ila kwa east kama KG akipona then boston watarudi tena,elsewise cleveland watafika pale

no matter who wil b comin from da east side kwa mwaka huu wont matter cz fainali lakers watashinda kirahisiiiii
 
Hivi what happen to jana na Bulls yaani walianza vizuri sana ile jumamosi jana wakawa wamelegea sana.I suppose wanapenda kwenda 1-1 thats sucks kwa kweli.
 

Haya mambo ya kumsifia KG ndiyo kocha wao kasema jana https://jamii.app/JFUserGuide KG and he is not coming back.Boston wanawachezaji wazuri sana na watu kukaa na kumuongelea mtu mmoja inaonekana kama wengine hawafanyi kitu matokeo yake wale wengine wanakuwa hawana mori wa kucheza na ndiyo maana ikabidi kocha wao jana aongee kuhusu huyoKG.jUZI AKAJIDAI KUKASIRIKA AKAENDA kujifungia locker room.basi kama alikuwa na hasira sana angemuomba mtu amfungie kwa nje maana kama amejifungia mwenyewe ni kwamba anaweza kutoka.

hapo kwa Larkers umenena huu nimwaka wao and this time wakishind ayaani itakuwa history kwa Kobe kushinda bila Shakili O'neal.
 
Do not underestimate the power of San Antonio Spurs...with or without Ginoooobili. Si mmeona jana walivyowatengeza the Mavericks!!
 
Do not underestimate the power of San Antonio Spurs...with or without Ginoooobili. Si mmeona jana walivyowatengeza the Mavericks!!

Na jumamosi iile maverick si waliwatengeza wao?.Maverick walikuwa wazuri zamani nadhani sasa wamechoka.

Kama ikiwezekana watu inabidi tu bet money hapa

where willt he amazing happen this year?Mimi nasema Larkers who wanna bet with me $200.00.
 

It is team game, pamoja na kuwa Celtic wana wacheza wazuri sana kukosekana KG one of the big three ni pengo kubwa sana ambalo inadhaniwa lilimsababisha hata meneja wao apate minor heart attack aliposikia kwamba KG hatakuwa available kwenye playoffs. Bulls wakitulia basi wanaweza kabisa kuwatoa Celtics hata jana waliponea tundu la sindano. Huu ni mwaka wa Kobe lakini inabidi acheze katika kiwango cha hali ya juu sana dhidi ya King James and Clevaland hasa ukitilia maanani King James ana Home court advantage na walipoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika regular season.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…