Mimi sizielewi hizo stress za Jumatatu. Zikoje?
monday could be a stress na stress hizo zinaweza kutokana na vitu vingi.lets say you been bombard na some stuff suring the weekdn let say ulikuwa ER all wknd,or umegombana na mwenza wako or umenyimwa unyumba or something hizo tunaita monday stress.
Oh okay....well, my weekend was a blast. So no Monday stress here. I was just curious as to who she was/ is. That's all. Happy Monday to you and yours.
hata ww utampenda kama unataka kumjua.do you?
Nani ameiona X-Men? Alafu hao Lakers wanaanza lini kucheza na Rockets?
Sasha hujambo lakini, weekend ilikuwaje?
NN sema naona Hawks wamefanya kweli.
Naah..I'll pass. I've got my hands full with my Cupcake and my priceless Princess
Sasha hujambo lakini, weekend ilikuwaje?
Rocket na Lakers wanacheza j4 which is kesho babes!
Mimi sijambo aisee hofu na mashaka ni kwako uliyembali na upeo wa macho yangu.
I guess since i hate the cavalier then i will have kushangilia the Hawks kwa sababu yako tuu ww Icadon.
That's what's up Nyani Ngabu,and i hope you mean it.
Icadon...unachukua notes lakini? Sasha keshakudondokea...ushindwe wewe tu
Sijamdondekea bwana Nyani ngabu vipiiii tsk tsk tsk hivyo ni vihisishi plus vivumishi tuu hakuna lolote.
Why deny it Sasha?
Ok, well....I hope he's taking notes...maana kila aina ya hint keshapata. Bahati yake Yo Yo hayupo
I am not denying it Nyani ila i ma being realistic.
Gotcha......
Nani ameiona X-Men? Alafu hao Lakers wanaanza lini kucheza na Rockets?
Sasha hujambo lakini, weekend ilikuwaje?
NN sema naona Hawks wamefanya kweli.
Gotcha......
Rocket na Lakers wanacheza j4 which is kesho babes!jiweke tayari ya kisusio maana kesho ngoma itakuwa balaah trust me.
Mimi sijambo aisee hofu na mashaka ni kwako uliyembali na upeo wa macho yangu.
I guess since i hate the cavalier then i will have kushangilia the Hawks kwa sababu yako tuu ww Icadon.
Icadon...unachukua notes lakini? Sasha keshakudondokea...ushindwe wewe tu
Why deny it Sasha?
Ok, well....I hope he's taking notes...maana kila aina ya hint keshapata. Bahati yake Yo Yo hayupo
Hehehehe musee wa Mob City, naona unapiga mashuti toka ktkt ya uwanja!! Si utani, musuli munene! LOL
Game ipo leo pale BankNorth Garden, mabingwa watetezi (sisi) tunawamwaga kinyesi Dwight Howard na wakulima wenzake toka orlando! Game time ni 8pm EST......
In Boston, we alwayz believe! Go Celtics!π
mabingwa watetezi (sisi) π