NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Mie nimekuulizia kwa sababu nimekumiss hao wengine watakuwa walikuulizia kwa sababu za kiushabiki.

**What do big girls do?


Hey Icadon what it do!.Te extrano papii.

Big girls wao wana smile all the time and make their menses happy all the time. tsk tsk tsk tsk tsk tsk.
 
Musee wa Mob City naona danadana mingiiiiiiii....LOL!! Usije kulia tu siku ukimwagwa!

do you actual think you got game?jana tuu mmepigwa na orlando tsk tsk tsk.unabahati tuu D-TOWN hakuna NBA team.

Swali: How do you say i miss you in swahili?
 
do you actual think you got game?jana tuu mmepigwa na orlando tsk tsk tsk.unabahati tuu D-TOWN hakuna NBA team.

Sasha bibie, kama naona Rockets wameshika lifagio likuubwa tayari kufagia uchafu uliotoka L.A....au nina makengeza nini?

 
do you actual think you got game?jana tuu mmepigwa na orlando tsk tsk tsk.unabahati tuu D-TOWN hakuna NBA team.

Swali: How do you say i miss you in swahili?

Hahahaha unacheza wewe...Rondo jana kaingia pale BankNorth Garden less than an hour kabla ya game kuanza, sijui alikuwa kaingiwa na nini? Isitoshe sisi ndio mabingwa watetezi na tuliwatoa nishai Lakers kwa finals last year...

Swali gumu, i miss you in swahili!!? Utasema tu "nikilala nakuota wewe!" Au wewe unasemaje?

Mmmmh D-town ni Dallas au pale kwa kina nanilino? fafanua hahahahaha:-D
 
Sasha bibie, kama naona Rockets wameshika lifagio likuubwa tayari kufagia uchafu uliotoka L.A....au nina makengeza nini?



Afadhali umejijibia mwenyewe kuwa una macho kumchuzi.yaani kwel nyie game ya jana tuu mshaona Rockets mabingwa jesus you all need prayers.
 

that is what i thought "i miss you" sidhani kama ina kiswahili chake maana nimejaribu sana kufikiria ikabidi niulize maana nilikuwa sipendi kiswhaili shuleni nilikuwa nasoma kukremisha na siyo kuelewa.

tsk tsk tsk tsk kwani D town ni Dallas tuu kuna Dellaware,DC,Dakota.

yaani unatabiri ushindi mlioupata mwaka jana?kumbuka hii ni 2009 na siyo 2008 vitu vinabadilika kila mwaka usikute ww umeongezeka 2 inches kutoka mwaka jana hadi mwaka huu.Na huyo Yao ming mnayemuongelea utadhani ameanz akucheza game leo.wakati dude ameanza kucheka like 4 years ago na ameshazea sana na Kobe na kobe akam-dinya vilevile.
 

Hahahahaha kaaazi kweli..nadhani nimekupata mwanawane!!😀 Unakaribishwa Boston tunywe Samuel Adams....
 
Hey Icadon what it do!.Te extrano papii.

Big girls wao wana smile all the time and make their menses happy all the time. tsk tsk tsk tsk tsk tsk.

Hola mamita que pasa? Niko naangalia my Red Devils wakiwafundisha Arsenal jinsi ya kucheza soka.
 
Hahahahaha kaaazi kweli..nadhani nimekupata mwanawane!!😀 Unakaribishwa Boston tunywe Samuel Adams....

What is mwanawanne?.

Naona nina mialiko mingi sana mwaka huu tsk tsk tsk.Afadhali yote haiitaji visa.

Samuel Adams i will pass maana ninaweka malengo mwaka huu i will stick with me`nage a` Trois.
 
What is mwanawanne?.

Naona nina mialiko mingi sana mwaka huu tsk tsk tsk.Afadhali yote haiitaji visa.

Samuel Adams i will pass maana ninaweka malengo mwaka huu i will stick with me`nage a` Trois.

How do you say "I am intrigued in French"?
 
What is mwanawanne?.

Naona nina mialiko mingi sana mwaka huu tsk tsk tsk.Afadhali yote haiitaji visa.

Samuel Adams i will pass maana ninaweka malengo mwaka huu i will stick with me`nage a` Trois.

Hehehehe mualiko wa Boston usitolee macho wala nini, nilikuwa nakuyeyusha tu.... :-D!! Sitaki kupigwa madaluga na mjuba Icadon (ana mkanda wa pink ktk karate) LOL
 
Hehehehe mualiko wa Boston usitolee macho wala nini, nilikuwa nakuyeyusha tu.... !! Sitaki kupigwa madaluga na mjuba Icadon (ana mkanda wa pink ktk karate) LOL


Yournameismine mimi huwa sitolei macho kihivyo vitu kama hivyo ni vitu vidogo sana watu wanapiga st tropez,riodejaneiro,brazil,Ma-Italy zile sehemu za kishuwa.Alafi Icadon pia anaonekana siyo mtu wa kurusha mateke he is a cool guy kama nyie wote i like you all like my brothers.Nilishasema wanaume wa kitanzania wafupi sana kwangu jamani eeh so chill out Yournameismine.
 
so you do speak spanish uh!.

ok Here i come.

Haha nah I don't speak Espanol, ila najua a word or two za kuniwezesha kusurvive nikikwama pale Alicante au Ibiza.

QM unaona tunavyowafundisha Arsenal?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…