kwa sababu unajua nazungumza ukweli......kweikwikwiiiiii
kushinda kwenye internet 24/7.
Couz sikuwezii! Najua Summer hii ulishaingia Gym na uko ready.
Hahaha couz mimi siendi gym nimeshamuachia mzee wa mbavu nene aka mzee Samuel Adams maana ameshasema game yangu nyembamba plus ameshatoa offer ya SA hehehe. Kipigo cha leo utadhani walichopata Orlando jana au Chelsea juzi Nomaaaa!!!
Eh!! wewe Rev umetokea wapi? pole kwa kichapo.
Ewe Halle Berry wa kiume...hebu thibitisha hiyo kauli yako...
Hewala ndava NN! Ama kweli akutukanae hakuchagulii tusi....kabinti kako kakiwa tayari kwa "matumizi ya nyumbani" lazima nikatungue, hiyo ndio adhabu yako kwa haya matusi unayonitukana! Bwahahahaha yaani utakuwa baba mkwe.......
NN,
Upo mwanangu?
Nipo yakhe...uliyeadimika ni weye tu....
NN ngoja Lakers waje Houston ...Go Rockets
Sex offender/sexual predator wewe lazima nikulengeshe polisi uende lupango wakakutusue vizuri maana hapa ume drop hints weeee na hujapata aliyeko interested....
Jibaba lizima unaanza ku fantasize kuhusu katoto kadogo...una laana ya mamako mzazi haki ya nani!!!
masoja boy hawks hawawezi game keele nyiingi kuanzia wachezaji mpaka washabiki wao....
Umefikwa na yepi chamaa!? Nilikuwa nashangaa huyu nani, kumbe ni wewe? Haya bwa'kubwa....tunaendelea! LOL
Jana niliomba kupewa results za game ya cavalier na Hawks nilikuwa nipo safari so sikuweza angalia naona wote mmenichunia i see its like that now?.
Mie sijui juu ya Hawks na Cavs, ila leo Kobe akicheza dirty, atavunjwa pua....-
That is the only way he has to play to win,I am so lookign foward na game ya leo na hivi kesho ni j'mosi.
Well Hawks naona ni wameshatolewa kwanz amchezo wao since day one ulikuwa wa kiwango cha chini sana wanafaa kuwa kwenye ligi moja na vijana au pazi timu za Tanzania.