NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
It looks like another blow out.
 
Heheheheheee...the most talented and deepest team in the west, per the all knowing pundit, inatolewa kamasi na Denver....hehehehehe..the most talented and deepest...lol
 
- Haya mambo leo vipi hii gemu ya Lakers na wazee wa ma-tattoo Nuggets? duh! ngoja nikaukalie chini wallahi lazimu!

FMES!
Kwenye hii unadhani nani atashinda? Maana mimi hapo sijali nani atakayeshinda, ningependa Nuggets washinde, ila match ya Kobe na LBJ ningependa sana kuiona.
 
aisee hawa vijana wanawapelekesha wazee wazima...si mchezo!!
 
....the latter...

aisee namuona mshikaji/mtetezi wako naye anafuatlia....lol
 
Come on Melo, let's do this! U have to put doubt on them fakers to take the series in 6games.
 
Kwenye hii unadhani nani atashinda? Maana mimi hapo sijali nani atakayeshinda, ningependa Nuggets washinde, ila match ya Kobe na LBJ ningependa sana kuiona.

- Ninawafagilia Nuggest mkuu, Billups, Melo, na Kenyon ni watuwangu sana!

FMES!
 
Denver wamekamilika. Lakers hawapiti pale.

Kilichowaponza Nuggets jana ni kumiss free throws nyingi bila ya mpango. Yaani hata 85% free throw shooter (C. Billups) kamiss jana. Ukiondoa solid gemu ya Kobe na zile 2 incridible 3-point shots by Fisher, Lakers walikuwa nyanya.

Gemu 2 - Melo & the gang wanachukua. That's my prediction.
 
Denver wamekamilika. Lakers hawapiti pale.

Kilichowaponza Nuggets jana ni kumiss free throws nyingi bila ya mpango. Yaani hata 85% free throw shooter (C. Billups) kamiss jana. Ukiondoa solid gemu ya Kobe na zile 2 incridible 3-point shots by Fisher, Lakers walikuwa nyanya.

Gemu 2 - Melo & the gang wanachukua. That's my prediction.

Acha visingizio. Lakers wangeshindwa na wao wangetoa visingizio. Hivi kwa nini inakuwaga vigumu kwa watu kukubali kushindwa bila kutoa visingizio?

Bottom line, the 'most talented and deepest team' in the Western conference won....
 
Acha visingizio. Lakers wangeshindwa na wao wangetoa visingizio. Hivi kwa nini inakuwaga vigumu kwa watu kukubali kushindwa bila kutoa visingizio?

Bottom line, the 'most talented and deepest team' in the Western conference won....

Sitoi visingizio. Nimenyambulisha hii gemu ya jana, na kutoa prediction yangu ya gemu 2

Kutokana na gemu ya jana, utabiri wako wa gemu 2 (let's just take one game at a time) ni nini?
 
Sitoi visingizio. Nimenyambulisha hii gemu ya jana, na kutoa prediction yangu ya gemu 2

Kutokana na gemu ya jana, utabiri wako wa gemu 2 (let's just take one game at a time) ni nini?

Lakers will go up 2-0

Nuggets wameonyesha udhaifu. Kuna kipindi walikuwa wanaongoza kwa pointi 13 kwenye nusu ya kwanza. Na kwenye nusu ya pili kwenye robo ya nne walikuwa kuna kipindi wanaongoza kwa pointi saba. Ikawaje wakawaachia jamaa wakarudisha na kuongoza? Lakers ni closers wazuri. Kobe ana killer instinct and he's out to prove a point.
 
Lakers will go up 2-0

Nuggets wameonyesha udhaifu. Kuna kipindi walikuwa wanaongoza kwa pointi 13 kwenye nusu ya kwanza. Na kwenye nusu ya pili kwenye robo ya nne walikuwa kuna kipindi wanaongoza kwa pointi saba. Ikawaje wakawaachia jamaa wakarudisha na kuongoza? Lakers ni closers wazuri. Kobe ana killer instinct and he's out to prove a point.

Kilichowaponza Denver ni zile missed free throws. Walipata nafasi nyingi sana kwenda kwenye line nusu ya wkwanza lakini wakazichezea. Hiyo ndio ikaipa nafasi Lakers kusogea karibu. And of course, Kobe jana gemu lilimkubali🙂

Tatizo ni kwamba Kobe ndio pekee ambaye anaweza ku-make plays mida ya lala salama katika ile timu. Ukiondoa Fisher, wengine wowote wanachachawa ku-take killer shots wakiwa underpressure. Na ndo hicho kinachomfanya Kobe amwamini Derick mida ya lala salama pengine kuliko yoyote yule. Derick aogopi kurusha mpira kwenye kikapu.

Denver, on the other hand, wana offensive weapons ambazo zimekuwa kwenye playoffs atmosphere kwa muda mrefu. Well, a star (Melo) has to play like a star. Lakini hata hivyo kitimu wakamilika both ends of the floor.

Wauza machungwa wenzangu - utabiri kuwa leo wanachukua gemu ya kwanza. Najua ni very unpopular utabiri, lakini habari ndio hiyo....
 
Lakers will go up 2-0

Nuggets wameonyesha udhaifu. ... Ikawaje wakawaachia jamaa wakarudisha na kuongoza? Lakers ni closers wazuri. Kobe ana killer instinct and he's out to prove a point.

Heheheheheee...the most talented and deepest team in the west, per the all knowing pundit, inatolewa kamasi na Denver....hehehehehe..the most talented and deepest...lol

Du, NBA analyst wa kishabiki shabiki katokea ana waffle waffle kutegemeana na upepo!
 
Denver wamekamilika. Lakers hawapiti pale.

Kilichowaponza Nuggets jana ni kumiss free throws nyingi bila ya mpango. Yaani hata 85% free throw shooter (C. Billups) kamiss jana. Ukiondoa solid gemu ya Kobe na zile 2 incridible 3-point shots by Fisher, Lakers walikuwa nyanya.

Gemu 2 - Melo & the gang wanachukua. That's my prediction.

- Ninataka kukuamini mkuu, kwa sasa tupo pamoja hapo!

FMES!
 


... selection order for the upcoming NBA Draft in June. Ningependa Knicks wapate nafasi ya kwanza ili Hasheem awe New Yorker.


Umejuaje timu ya kwanza kuchagua itamchagua Thabiti?

Bubu wewe NBA enthusiast nilitegemea ujue Blake Griffin ndio presumptive number one pick at least kwa sasa.
 
Wauza machungwa wenzangu - utabiri kuwa leo wanachukua gemu ya kwanza. Najua ni very unpopular utabiri, lakini habari ndio hiyo....

Yeah hata mimi nina feeling hiyo hiyo. Bado nadhani Wauza machungwa ni bad match up kwa Cavs. Nikitumia terminology ya boxing, styles make fights na kwa jinsi Wauza machungwa wanavyocheza, nani atamzuia Superman? Lakini tutaona....

Inakuwaje Cavs waliokuwa wanaongoza kwa pointi 16 kushindwa ku maintain lead yao na hatimaye kupigwa bao nyumbani?

Nasema hivi Wauza machungwa ni bad match up kwa Cavs. Hawa Cavs wamewa sweep wachovu wachovu wa Detroit na Atlanta watu wakaingia mkenge na kuanza kuwamwagia misifa na wengine hata kudiriki kusema kuwa eti LeBron ni mzuri kumshinda Michael Jordan...uuuuuwiiiiiiii....
 
Last edited:
Umejuaje timu ya kwanza kuchagua itamchagua Thabiti?

Bubu wewe NBA enthusiast nilitegemea ujue Blake Griffin ndio presumptive number one pick at least kwa sasa.

Dilunga nakubaliana nawe kwamba huyo Griffin ndiye anaelekea kuwa namba 1 pick, lakini namfagilia mbongo mwenzangu ha ha ha ha. Kwa maoni yangu bado Hasheem ana room kubwa ya improvement hasa katika movements ambako bado mzito na kuongeza misuli hili likitokea katika miaka miwili au hata mitatu ijayo Hasheem na urefu wake atakuwa ni mchezaji mmoja mzuri sana katika NBA. Wasije wakafanya makosa waliyofanya Seattle ya kumchukua Sam Perkins na kumuacha Michae Jordan 🙂 sisemi kwamba Hasheem ni MJ, bali akiweza kuimprove katika hayo maeneo mawili basi in 2 or 3 years atakuwa among the best players in NBA
 
Jana baada ya Denver kuvurunda katika mchezo waliostahili kushinda ambao waliongoza kwa muda mrefu. Bado naamini kwamba Denver watashinda, lakini kwenye michezo chochote kinaweza kutokea. Haya leo na tuangalie mpambano wa King James na Super man, hii itakuwa ni series ambayo timu yeyote inaweza kushinda lakini kwa maoni yangu Cleveland wana advantage. I hope utakuwa ni mchezo wa ushindani tangu mwanzo hadi mwisho hali kadhalika series yenye ushindani mkali na possibility ya kwenda mpaka 7th game. Enjoy the game.
 


... Wasije wakafanya makosa waliyofanya Seattle ya kumchukua Sam Perkins na kumuacha Michae Jordan 🙂

Sam Perkins I'm sure alikuchukuliwa baada ya Michael, na alienda Dallas sio Seattle. First peak in that legendary class of 1984 alikuwa yule pure-bred Afrikan Aligator from the jungles of Yorubaland, na huwezi kusema Huoston walikuja kujutia uamuzi ule, I mean, aliwaletea vikombe na kuwajengea misikiti to boot.

Back to Thabiti, umesema unadhani anahitaji kuongeza msuli na speed. Nadhani ni kweli kwa kiasi fulani, japo nadhani anaweza kufunika huo udhaifu kama atajizatiti awe offensive weapon kali zaidi. I mean, unaweza kusema Duncan anaweza kukimbia speed yule? I think not. Yao, tunaweza kusema ana msuli? Mmmh, may be not. Lakini wana compensate kwa sababu ni silaha kali offensively.

Ukiwa mtaalam wa ku block shots tu, na kukamata rebound a handful of times na kuokoteza point za penati hapa na pale yeah, at the end of the day utakuwa Mutombo. You're not gonna be counted among the great centers. Ma big man wote wakali kihistoria wanapiga magoli pia, I mean you gonna wait too long before they make you a hall of famer just for blocking shots and hitting a few freethrows.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom