NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Rufiji said:
Hands down King James is the best player in the league momentarily.

..ppl can say all they want about Lebron but i dont enjoy watching this kid play. he is too much power and no elegance at all

..hicho ndicho kinachonifanya nimkubali Kobe Bryant "black mamba" as the best overall player currently playing in the NBA.

NB:

..halafu Lebron kufunga hizo point-3 basi waandishi wa habari are having a field day taking jabs and shots at Kobe Bryant.
 

Na kuna baadhi ya pundits eti wanasema LeBron ni mzuri kushinda Michael Jordan....ahahahahahahahaaha...they can't be serious
 
What a perfomance by KB alias Black Mamba!!! It reminds me of Michael Jordan during his era as Air Jordan.
 
What a perfomance by KB alias Black Mamba!!! It reminds me of Michael Jordan during his era as Air Jordan.

Uliiona ile mean mug ya Kobe lakini? Naona hadi ESPN Sportscenter wameifanya kuwa highlight reel....Kobe is bad y'all....
 
Hahahahaaa...we shall see

Take my word hommes, i know them dudes in Denver are not very stable. We just need to play mind games with them. You wiill see them cracking starting with K-mart,JR,Melo and Bird man.
We got their numbers now.....we gone!
 
Take my word hommes, i know them dudes in Denver are not very stable. We just need to play mind games with them. You wiill see them cracking starting with K-mart,JR,Melo and Bird man.
We got their numbers now.....we gone!

Hahahaha...trash talking doesn't win games...y'all got be consistent...you can't be bipolar like Kobe said...one day you play like champs then the next day you play like chumps...come on y'all....consistency consistency consistency is the name of the game if y'all are hungry like they say you are...
 
Uliiona ile mean mug ya Kobe lakini? Naona hadi ESPN Sportscenter wameifanya kuwa highlight reel....Kobe is bad y'all....

Niliiona jamaa ni mkali hata wasiposhinda hii series. KB is among the best players of all time. King James inabidi naye awe na exceptional perfomance na pia amlinde yule Mturkey Tourkouglu (Spelling?) ambaye anawapa wakati mgumu sana hasa katika dakika za lala salama, vinginevyo watakuwa down 2-1.
 
- Nimeanza kukosa imani na Lebron, akishinda leo nitamuamini otherwise ni another NBA player tu, kama wengine wote.

- Nuggets jana wameharibu sana kwa kucheza bila plan, na coolness ya NBA Playoff, wakijirekebisha wanaweza kushinda tena big time.

- Mkuu Yoyo huku huwa hatuna ligi, tunajadili michezo kistaarbu, hizo ligi zako peleka kulee kwenye siasa, sio huku!

Respect.

FMEs!
 
It is a half time and they are down just by one point. Hopefully they will be able to reduce the numbers of 3 points from Rashad Lewis and Tourkouglo.
 
watapunguzaje 3pts za orlando magic wakat ndo timu iliyolead na inayolead kwa kuchoma point tatuz in de entire league?dats one of their game plan au strategy n dats why it gave howard chance ya kupata rebounds nyingi kwenye league cz ol de rest of de 4 players keep on shooting 3's leavin him pickin up rebounds.

i think ts among de few teams kweney nba kuwa na 4 players from the startin 5 ambao r very gud kwenye kuchoma 3

well kid James na timu yake wameluz n nahofu wataluz tena next game

ts so bad kumfananisha mtoto kama yeye na watu ka kina Jordan atleast kobe bryant sawa
 
- Lebron kumbe ni mtupu phew! Vipi leo wazee wa tattoos na Kobe? Nawafagilia the tattoos kama kawa!

FMEs!
 
ts so bad kumfananisha mtoto kama yeye na watu ka kina Jordan atleast kobe bryant sawa
kumfananisha kid james na kobe ni sawa kuifananaisha CCM na chadema.....
 
kumfananisha kid james na kobe ni sawa kuifananaisha CCM na chadema.....

Dogo LeBron hajafikia hata robo ya Kobe....ikumbukwe kuwa Kobe tayari ana ubingwa mara tatu na keshafikia fainali mara tano kama sio sita...sasa kuna kipi cha kulinganisha hapo?
 
- Lebron kumbe ni mtupu phew! Vipi leo wazee wa tattoos na Kobe? Nawafagilia the tattoos kama kawa!

FMEs!

Kauli mbovu,huwezi kumwita Bwa mdogo "Mtupu"
Veteran Kobe anaweza kuwa juu zaidi ya dogo lakini kauli ya kuwa ni mtupu ni kauli Mbovu.
 

Nadhani ni baadhi ya plays anazozi make pamoja na style yake ya uchezaji ndio maana wanamfananisha na baadhi ya hao ma superstar,si kwasababu ya accomplishments,hilo liko wazi.
 

FMES kuna ile game ulisema ulishaenda kulala ukijuwa Magic wameshinda na ukajakushangazwa eti kwanini LB alibeat the buzzer...Ulinishangaza sana kama wewe ni mpenzi wa basketball eti ulienda kulala wakati game diffrence ni only a point na bado kuna seconds za kuplay,hata soka yenyewe si hivyo ni hadi kipenga cha mwisho..Kama wewe si mshabiki wa LB simamia pointi yako si uwe kigeu geu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…