NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Naona unawalima madongo bila huruma, tatizo lao ni ma-tozi kama mashabiki wao wa hapa JF....wala si utani inabidi wakacheza ligi ya kina Zonga...😀

Ijumaa njema na wkend njema!


No siyo madongo ila ninatoa ukweli wewe si umeona mechi yao ya kwanza na ya pili wanapelekwa kweli kweli na Cavalier alafu wanaonekana wana loose their breath,Me i think Hawks wange m-sign Patrick Nyembera wa Paz angewapa tuff sana,Kido ni mfupi 5"1 lakini anamachejo sana.

sasa wapi mambo ya weekend?hamji mitaa ya kati tena?au mpaka rafiki awepo around?unacheza ww tsk tsk tsk tsk tsk.
 
Hahahah mnaongea sana tatizo lenu ebo!!! season moja na nusu Hawks ilikuwa the worst team kwenye NBA leo hii tunafukuzana na big boys.

Ila duh vichapo viwili tulivyopewa ni noma!! utadhani tumekuwa timu ya mujini kwa kina Sasha.
 
Hahahah mnaongea sana tatizo lenu ebo!!! season moja na nusu Hawks ilikuwa the worst team kwenye NBA leo hii tunafukuzana na big boys.

Ila duh vichapo viwili tulivyopewa ni noma!! utadhani tumekuwa timu ya mujini kwa kina Sasha.

Lakini si tunaongea ukweli.unaona wewe mwenyewe ume-admit kuwa mmekuwa kama maharagwe ya mbeya maji mara moja.Hawks ilikuwa the worst timu na itaendelea kuwa worst hivi mmebahatika tuu,sijui mlilalia ubavu wa kushoto ndiyo mkafika huko au mlihonga marefarii?.

tsk tsk tsk tsk tsk umenichekesha sana eti kama timu ya mjini kwetu,si bure.
 
No siyo madongo ila ninatoa ukweli wewe si umeona mechi yao ya kwanza na ya pili wanapelekwa kweli kweli na Cavalier alafu wanaonekana wana loose their breath,Me i think Hawks wange m-sign Patrick Nyembera wa Paz angewapa tuff sana,Kido ni mfupi 5"1 lakini anamachejo sana.

sasa wapi mambo ya weekend?hamji mitaa ya kati tena?au mpaka rafiki awepo around?unacheza ww tsk tsk tsk tsk tsk.

Hahaha au Yassin Wassira na yule "Papa!!" Watu wapo busy flani, lakini mie nitapiga msele mitaa ile kabla summer haijaisha!! Sema wewe tu ndio uache miyeyu...LOL!! By the way nilikutana tena na yule beshtee aliyekuwa anasoma Seattle...

Haya wkend njema, naona kuna mtu kanipania hapa........
 
masoja boy hawks hawawezi game keele nyiingi kuanzia wachezaji mpaka washabiki wao....

Ehhh !! mkulima wewe nawe umetokea wapi?

YNIM kusema kweli mie bitozi na utozi wangu umeanza tangu enzi hizo wewe unacheza gololi, Sasha anacheza mdako, QM anawinda shoree vumbi mpaka kwenye kope...

Weekend njema!! NN watu baadaye wanaingizana maregal 24 kukodolea macho Star Trek.
 
Ehhh !! mkulima wewe nawe umetokea wapi?

YNIM kusema kweli mie bitozi na utozi wangu umeanza tangu enzi hizo wewe unacheza gololi, Sasha anacheza mdako, QM anawinda shoree vumbi mpaka kwenye kope...

Weekend njema!! NN watu baadaye wanaingizana maregal 24 kukodolea macho Star Trek.

Yeye atakuwa hapa JF anamlambalamba miguu Guru mwanakijiji......jamaa hana life!! NOMA!
 
Hahaha au Yassin Wassira na yule "Papa!!" Watu wapo busy flani, lakini mie nitapiga msele mitaa ile kabla summer haijaisha!! Sema wewe tu ndio uache miyeyu...LOL!! By the way nilikutana tena na yule beshtee aliyekuwa anasoma Seattle...


tsk tsk tsk Papa au Hunter RIP.,Hivi hunter alikuwa vijana yeah?.au tungewaletea watu wa OFS kabisa.

Si unajua ndugu yangu ubisy fulani shule kazi nini combination mbaya sana hii.ulikutana naye wapi na wewe kwa kuzurula ulitakiwa ufungue ur own tourrism company.
 
Ehhh !! mkulima wewe nawe umetokea wapi?

YNIM kusema kweli mie bitozi na utozi wangu umeanza tangu enzi hizo wewe unacheza gololi, Sasha anacheza mdako, QM anawinda shoree vumbi mpaka kwenye kope...

Weekend njema!! NN watu baadaye wanaingizana maregal 24 kukodolea macho Star Trek.

Aaah mimi na Star Trek mbalimbali.....hapa labda baadae watu watatinga Fox Sports Grill anga za Atlantic Station...but who knows
 
Ehhh !! mkulima wewe nawe umetokea wapi?

YNIM kusema kweli mie bitozi na utozi wangu umeanza tangu enzi hizo wewe unacheza gololi, Sasha anacheza mdako, QM anawinda shoree vumbi mpaka kwenye kope...

Weekend njema!! NN watu baadaye wanaingizana maregal 24 kukodolea macho Star Trek.


tsk tsk tsk mdako sijacheza nilikuwa naogopa kuharibika mikono ila nilikuwa napend amchezo wa baba na mama na kila siku nilikuwa nachagua kuwa mama.
 
Duh mnawazungumzia akina nani hao? Maana naona majina tuu yanaflow.
 
tsk tsk tsk Papa au Hunter RIP.,Hivi hunter alikuwa vijana yeah?.au tungewaletea watu wa OFS kabisa.

Si unajua ndugu yangu ubisy fulani shule kazi nini combination mbaya sana hii.ulikutana naye wapi na wewe kwa kuzurula ulitakiwa ufungue ur own tourrism company.

Hahahaha unajua tena mambo ya "different area codes!" Nilikuwa ma-Dallas recently, nikakutana na mchumba flani hivi akasema ni best wako sana na ana undugu na nanilino!! Kahamia kule toka D.C, shotiii hivi halafu light kimtindo!! Itabidi tuongee......LOL
 
Duh mnawazungumzia akina nani hao? Maana naona majina tuu yanaflow.

Tsk tsk tsk tsk sasa inaashiria kuwa ubitizo umeanza juzi tuu Idacon maana enzi hizo mabitoz walikuwa mahepe sana wanajulikana kila kona au wewe utozi wako ulikuwa wa temeke kigiligilani.
 
naona unarusha ndogo ndogo kwa diva....punguza usoja boyi utadaka totozi hiyo si unaona inavyo flow....

Babu/bibi mbona umemkazania sana Souljah Boy, ndio Role Model wako au favorite artist kwenye playlist yako?

Hopped up out the bed turn my swag on
Took a look in the mirror said what's up?
 
Hahahaha unajua tena mambo ya "different area codes!" Nilikuwa ma-Dallas recently, nikakutana na mchumba flani hivi akasema ni best wako sana na ana undugu na nanilino!! Kahamia kule toka D.C, shotiii hivi halafu light kimtindo!! Itabidi tuongee......LOL

Wee lazima utakuwa unamuongelea demu mmoja hivi yeah ni ligh hivi alafu shotii ndiyo kahamia Dallas kutoka DC,mshikaji powa sana yule ana ndugu zake bado wako DC.
 
Babu/bibi mbona umemkazania sana Souljah Boy, ndio Role Model wako au favorite artist kwenye playlist yako?

Ahahahahaha...turn my swagg on siyo....ahahahahahaaaa....jamaa dizaini swaggaless
 
Tsk tsk tsk tsk sasa inaashiria kuwa ubitizo umeanza juzi tuu Idacon maana enzi hizo mabitoz walikuwa mahepe sana wanajulikana kila kona au wewe utozi wako ulikuwa wa temeke kigiligilani.

Twitwitwitwi.....enzi hizo alikuwa bado yupo kwao Kimbiji huko analinda ndezi!! Hahaha! Duh, halafu Hunter alivuta loooongtyme yaani..mungu amrehemu!
 
Twitwitwitwi.....enzi hizo alikuwa bado yupo kwao Kimbiji huko analinda ndezi!! Hahaha! Duh, halafu Hunter alivuta loooongtyme yaani..mungu amrehemu!

Hunter umemjulia wapi wewe dogo? Au ndio kujifanya unajua watu ili uonekane unajua watu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom