Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu......Babu/bibi mbona umemkazania sana Souljah Boy, ndio Role Model wako au favorite artist kwenye playlist yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu......Babu/bibi mbona umemkazania sana Souljah Boy, ndio Role Model wako au favorite artist kwenye playlist yako?
Yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu......
Yo Yo?
Yo Yo?
mshikaji wake wa karibu namyaka mselaYo Yo?
wabongo hamanzo wenyewe wanaona hatari bado wanazidi kuifata.....Shock ya mabomu ya Dar na kipigo walichopewa jumanne amekuwa very humble.
nitawafungulia thread.....Rudi nyuma miezi sita, kisha angalia quoted post.
Haya weekend njema waungwana miye ndiyo najianda akuelekea ma-aiporti thatha hivi.
Icadon umepigwa bao aisee... ndege huyoo anapaa anaelekea mitaa ya New England...
Gademu!! YournameisMwizi has this chick on lock...
Usikonde Icadon....nina m Dominican extra hapa...holla
Icadon umepigwa bao aisee... ndege huyoo anapaa anaelekea mitaa ya New England...
mkuu lebron ni mkali tena sana na kobe nae ni mkali sana tu....tofauti moja inakuja kobe ni unstopable.....kuna kitu alikifanya juzi na rockets yao alibaki anashangaa maana alijipa pasi mwenye na ku score...- Wakuu vipi sasa ni confirmed Kobe na King Lebron Finali au? Maana nilimuona Lebron jana akiwatwanga Hawks kama watoto wadogo, nina wasi wasi huenda akashinda the whole thing, au?
FMES!
mkuu lebron ni mkali tena sana na kobe nae ni mkali sana tu....tofauti moja inakuja kobe ni unstopable.....kuna kitu alikifanya juzi na rockets yao alibaki anashangaa maana alijipa pasi mwenye na ku score...
..nafikiri hawa wakutane fiinali kukata ngebe nani mkali....
Huyu YourNameisPanja yuko wapi? Timu yake Cel-tits inapulizwa tu na Magic. Wanamuitaji huko aka-cheerleading....
Huyu YourNameisPanja yuko wapi? Timu yake Cel-tits inapulizwa tu na Magic. Wanamuitaji huko aka-cheerleading....
- Wakuu vipi sasa ni confirmed Kobe na King Lebron Finali au? Maana nilimuona Lebron jana akiwatwanga Hawks kama watoto wadogo, nina wasi wasi huenda akashinda the whole thing, au?
FMES!
Duh hilo bao amepiga wakati wa kupasha misuli moto, maana ata kwenye locker/dressing room sijatoka(meaning mechi haijaanza).
Sasha, msalimie M mwambie mmoja wa wanafunzi wa zamani wa late mwalimu anamsalimia.
FMES
Kobe anatakiwa kuiondoa Rockets kwanza. This series is too far from over !Please don't make a mistake by counting them Rockets out. Rockets are going to disappoint many people who are anxiously waiting for the showdown between Kobe and Lebron..........Go Rockets!