NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

its been a slow start for the splash bros.despite a 9pts lead...HALF TIME..
 
Mie nakubaliana nawe kwamba Chicago hawawezi kuwaondoa CAVS na namshangaa sana Charles Barkley kwa kusema kwamba da bulls watawatoa CAVS, ila huwezi kujua kwa mfano wengi tulidhani Spurs watapita na Clippers.

Yeah hususan kama wakikutana na Cavs maana zile njemba mbili (LeBron na Kyrie) ni moto wa kuotea mbali.

Sitarajii Chicago wavuke kihunzi cha Cavs but you never know.

Ubaya wa basketball huwa hakuna upsets kwa sababu ya huu utaratibu wa series.

Ndo maana napenda zaidi ligi ya NFL kwa sababu hakuna cha game 2 wala baba yake game 3.

It's one and done na nadhani pia ndio sababu inayofanya football iwe the most popular sport in the US.

Basketball ipo nyuma hata ya baseball kwenye popularity.
 
Mie nakubaliana nawe kwamba Chicago hawawezi kuwaondoa CAVS na namshangaa sana Charles Barkley kwa kusema kwamba da bulls watawatoa CAVS, ila huwezi kujua kwa mfano wengi tulidhani Spurs watapita na Clippers.

Kusema kweli mwaka huu Spurs hawakucheza kwa usongo kama mwaka jana.

Nadhani mwaka jana walicheza kwa lengo la kutaka kuthibitisha jambo baada ya kushindwa kutwaa ubingwa wa mwaka juzi ambao walikuwa wamebakiza sekunde chache tu kuwa mabingwa.

Nahisi wakasema kwamba wata make amends na kweli, kwenye regular season wakashinda michezo mingi na kuwa overall number one seed na hatimaye kuwasambaratisha vibaya mno Miami Heat.

Sasa msimu huu hata kwenye regular season tu walihangaika. Hata ule mchezo wa mwisho ambao uliwarudisha nyuma kwenye seeding waliucheza bila energy yoyote ile.

Sijui ndo madhara ya hangover ya ushindi au vipi maana ni timu ile ile (wachezaji walewale) iliyo dominate mwaka jana.

Wakati mwingine mkiwa mna sababu ya kutaka kushinda husaidia sana. Kushindwa kwao mwaka juzi kuliwauma sana na ndo maana hata Tim Duncan alinukuliwa akisema kuwa wao Spurs waliwataka tena Heat kwenye finals za mwaka jana.
 
ANOTHER BLOW OUT....ANOTHER SWEEP IN THE MAKING....
golden_state_warriors_2013_playoffs_poster_by_inkincorporated92-d64nqkt.png
 
Sources: Warriors guard Stephen Curry voted Most Valuable Player for 2014-15

OAKLAND, Calif. -- Golden State Warriors guard Stephen Curry has been voted the NBA's 2014-15 Most Valuable Player, according to league sources.

Sources told ESPN.com that Curry will be officially recognized as the league's MVP as early as Monday and is likely to receive the trophy in a ceremony before Game 2 of the Western Conference semifinals against the Memphis Grizzlies on Tuesday.


Comcast SportsNet Bay Area first reported Sunday that Curry had won the MVP race.
Source

Well deserved honors for Steph Curry.
 
Yeah hususan kama wakikutana na Cavs maana zile njemba mbili (LeBron na Kyrie) ni moto wa kuotea mbali.

Sitarajii Chicago wavuke kihunzi cha Cavs but you never know.

Ubaya wa basketball huwa hakuna upsets kwa sababu ya huu utaratibu wa series.

Ndo maana napenda zaidi ligi ya NFL kwa sababu hakuna cha game 2 wala baba yake game 3.

It's one and done na nadhani pia ndio sababu inayofanya football iwe the most popular sport in the US.

Basketball ipo nyuma hata ya baseball kwenye popularity.

Mkuu kumbe na wewe unafagilia NFL! The same mind here. And I think it's how spectacular its games are, another reason why Americans love it the most.
 
Mkuu kumbe na wewe unafagilia NFL! The same mind here. And I think it's how spectacular its games are, another reason why Americans love it the most.

Mimi kwangu NFL ndo namba moja aisee.

Can't wait for September to get here and be glued to my to couch every Sunday.

Hadi channel ya NFL Redzone ninayo.

Go Pats go!
 
Dah, nafuu asee, tena fellow Pats fan!. Asee mkuu imekuwa poa sana asee. Coz sikutegemea kukutana na hata mfuasi mmoja wa NFL humu JF!. most of the times unajikuta unashindwa share the victory/defeat news na mtu coz hawaelewi kitu chochote.
 
Dah, nafuu asee, tena fellow Pats fan!. Asee mkuu imekuwa poa sana asee. Coz sikutegemea kukutana na hata mfuasi mmoja wa NFL humu JF!. most of the times unajikuta unashindwa share the victory/defeat news na mtu coz hawaelewi kitu chochote.

That's what's up man.

Nilikuwa najikuta niko peke yangu hivyo sikuwa hata sababu ya kuanzisha threads za NFL.

Manake unaweza ukajikuta unajiongelesha mwenyewe tu kuhusu one handed touchdown ya Gronk au precision throwing za Tom Brady halafu watu wa humu wakakuona mwendawazimu tu.
 
You on point, bruv!. Zile spectacular catches za kina Ordel Beckham, Gronk, na upsetting comebacks ka za kina Seahawks zilivyo exhilarating af unakosa mtu wa kushare nae!
 
You on point, bruv!. Zile spectacular catches za kina Ordel Beckham, Gronk, na upsetting comebacks ka za kina Seahawks zilivyo exhilarating af unakosa mtu wa kushare nae!

Mazee unaangalia First Take?

Skip Bayless is hilarious.

Kwa vile kapoteza bet basi leo kavaa TMT tshirt na kapelo.

Ahahahahaaaaaa.
 
Mazee unaangalia First Take?

Skip Bayless is hilarious.

Kwa vile kapoteza bet basi leo kavaa TMT tshirt na kapelo.

Ahahahahaaaaaa.

Bruv, sijawahi angalia asee. Kama ni series mi ni mvivu wa hizo mambo. Kwa kujaribu, ndo kwanza nimefika S04 Game of Throne.

Ila ka ndo hivyo ujue hapo raia anajaribu tu ku'shoosh the bet issue na ku'front as Money fan!
 
Stephen "The Chef" Curry MVP
 

Attachments

  • 1430755715423.jpg
    1430755715423.jpg
    58.7 KB · Views: 29
[h=1]Warriors' Stephen Curry wins 2014-15 Kia NBA Most Valuable Player Award[/h]
Official Release
POSTED: May 4, 2015 11:04 AM ET


AD



Warriors' Stephen Curry wins 2014-15 Kia NBA MVP Award
The Golden State Warriors' Stephen Curry, who set a single-season record for three-pointers made and led the league's best regular-season team in scoring, assists and steals, has won the 2014-15 Kia NBA Most Valuable Player Award.






The NBA announced today. The 6-3 guard becomes the second Warriors player to win the award, joining Wilt Chamberlain, who was honored in 1959-60 when the franchise played in Philadelphia.

Curry totaled 1,198 points, including 100 of 130 first-place votes, from a panel of 129 sportswriters and broadcasters throughout the United States and Canada, as well as the Kia MVP fan vote on NBA.com. Players were awarded 10 points for each first-place vote, seven points for each second-place vote, five points for each third-place vote, three points for each fourth-place vote and one point for each fifth-place vote.

Rounding out the top five in the voting were the Houston Rockets' James Harden (936 points, 25 first-place votes), the Cleveland Cavaliers' LeBron James (552 points, five first-place votes), the Oklahoma City Thunder's Russell Westbrook (352 points) and the New Orleans Pelicans' Anthony Davis (203 points).

Curry helped the Warriors win a franchise-record 67 games by averaging 23.8 points (sixth in the NBA), 7.7 assists (sixth), a career-high 2.04 steals (fourth) and 4.3 rebounds. The 27-year-old Curry made 286 three-pointers, breaking his own NBA record of 272 set in 2012-13. He shot 48.7 percent from the field and ranked fourth in the league in three-point field goal percentage (44.3). Curry also led the NBA in free throw percentage (91.4), converting a career-high 52 consecutive free throws from March 9 to April 4.

With Curry leading the way, Golden State became the 10th team in NBA history to win at least 67 games in a season. The Warriors scored 920 more points than they allowed with Curry on the court, the highest plus/minus for any player this season and an average of 11.5 points in his 80 appearances.

Curry's consistency throughout the season mirrored that of the Warriors. He was named the Kia NBA Western Conference Player of the Month for October/November, when Golden State went 14-2 as part of a 21-2 start. Curry finished strong, too, shooting 51.7 percent (125-for-242) from three-point range after the All-Star break, when the Warriors went 25-6.

Curry receives the Maurice Podoloff Trophy, which is named in honor of the NBA's first commissioner, who served from 1946 until his retirement in 1963.
For the sixth consecutive season, the NBA and Kia Motors America (KMA) gave fans the opportunity to submit votes for the Kia NBA Most Valuable Player Award by ranking their top five choices through a dedicated Web page on NBA.com. The fan vote counted as one vote toward determining the winner.

woohoo-jumping-smiley-emoticon.gif
super-happy-dance-smiley-emoticon.gif
jumping-for-joy-smiley-emoticon.gif
awesome-smiley-emoticon.gif
big-grin-smiley-emoticon.gif
happy-spring-smiley-emoticon.gif
 
Back
Top Bottom