NBA Season 2014/2015

Kwa wale wapenzi wa Scripps National Spelling Bee....ni kesho live on ESPN @8P/7C.
 

Mimi naomba Love aendelee kukaa bench, kwa sababu kazi ya Thompson na Delly ni tosha kabisa kumpoteza Klay, James atadili na Curry huku D Green and the rest wahangaishane na Kyrie ambaye nadhani atakuwa ameshapona.

Kama unavyosema, we have great finals on paper. CAVs wako vizuri kwenye 3 points pia, na defence wako vizuri sana ingawa stats zinasema GSW wana D nzuri.
 


Harafu James kawapa confidence sana jamaa zake, napenda kazi anayoifanya Thompson na Delly kwenye rebounds na kuharibu mipango ya maadui.

JR Smith na Shumpert wako moto mbaya, Mozgov dah! Sioni kwa nini GSW asikae huku James anawabully kina D Green na Bogut.

Threes zitapigwa huku na huku, advantage kubwa ya CAVs ni James kwenye paint, driving unstopable layups.

Advertise ya kwanza ni kuwin game pale Oracle.
 

hahahahaha I gave Cavs 60% of winning lakini always bet zako angainst GSW zinafeli.. Sasa nawapa wote 50% and kama GSW watashinda the first game nina uhakika wa 80% wao kushinda..

Haya maneno ya defense na frustrations tuliyasikia siku nyingi, lakini bado tukasonga. 2-1 against Grizz watu walikata ngebe sana hapa lakini wote wakakaa kimya, tena walikaa game 3 mfululizo kwa double digits, 2 wakiwa kwao. Eti unasema defense ya Cavs ni tishio?? Pelicans na Grizz wana defense za kutisha lakini walikaa, ati unasema Thompson na Curry watawekewa defense washindwe kutungua 3,3.. Defense ambayo ilikuwa inamruhusu Korver kutungua open 3's sema tu alikuwa anazikosa kwasababu ya kutokuwa katika peak yake.

Watu wanataka kuipa ushindi mrahisi Cavs sababu tu ya sweep yao kwa ATL.. ATL haijacheza vema hizi play offs zote, Brooklyn Nets wenyewe walienda mpaka game 6, timu ambayo ni 8 seed. Wizard walienda mpaka 7 tena mpaka sekunde ya mwisho kabisa, ni ile buzzer ya PP iliwaokoa kwakuwa mpira ulikua mkononi at 0m. Hao Wizzard ni 5 seed. Ninaamini GSW wamecheza na timu ngumu kuliko Cavs kwenye hizi Play offs na bila shaka wanazitoa kwa uwezo na si kwa watu kuleta visingizio ati timu flani haieleweki. Against Pelicans, zile 20 points come back watu humu walisema Pelicans ni wajinga, 3 strainght wins against Grizz kwa double digits watu waliwabeza Grizz, hii domination kwa Rockets pia bado wanaitupia lawama Rockets.
Tyta alisema, sportsman gives credit to their opponents when it's needed, GSW deserved to be where they are sio tu kwa visingizio vya timu pinzani kutoku'compete bali uwezo wa GSW ulikuwa juu yao. Nasema hapa, hata hawa Cavs ikitokea wakapigwa watu hawataipa credit GSW bali matusi kwa kina Lebron na visingizio vingine.

Ikitokea GSW wakashinda first game, Mkuu BAK naomba uimerge hii post kule kwenye thread..
 
Sijakuelewa MVP Steph Curry, ni emerge kwenye thread ipi? I need your clarification please!
 
Last edited by a moderator:
I don't have that authority Mkuu, but they (MODS) will be able to fulfill your request.

Muda ukifikaa na ikitimia nitawaomba Mods wafanye hivyo.. Nilikuwa nataka go ahead yako tu. Shukrani
 
Huyu Curry ni kama bado ana maruerue ya maumivu ya alivyoanguka juzi...
 
So far hii game ni winnable kabisa kwa Rockets lakini mi turnover itawalostisha.

Rockets wanaonekana hawana mpango na ushindi...

Hii mechi ilikuwa yao kabisa maana GSW hawapo vizuri leo...

Ila ndio wazembe kupindukia, kwa mchezo huu leo ndio mwisho wa safari yao msimu huu...
 
Steph Curry will become 1st player NBA history to face each of other 4 members of 1st-team All-NBA in same playoffs.
 
Now it's LeBron vs. Curry.

King James vs. the Baby-Faced Assassin.
The four-time NBA MVP vs. the newly crowned MVP.
 
Steph Curry

Ushabiki ni pamoja na kutengeneza hype ya mchezo, hata kama unaujua ubora wa adui huwezi kudeclare kwenye public kwamba atanifunga.

Lazima ujipe morali kwa kuuambia uma kwamba utamshinda adui tena ushindi mkubwa. Na kwenye Sports criticism is part of the game. Mfano James ana ring 2 lakini bado watu wana zi-discredit kwa kudai bila Wade na Bosh asingezipata, alifata rings Miami etc, so ni kawaida.

Narudia tena kusema Cavs atamshinda GSW. Hata kama GSW atashinda game 1, bado game 2 kina James watashinda.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…