NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

YOUNG CURRY AND FAMILY IN CANADA(WHEN HIS DAD WAS PLAYING WITH THE RAPTORS)
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
NkyaH;

Alikuja nakumbuka ilikuwa kitu kama July au August, siku aliyocheza game pale Don Bosco nilikuwa shamba Morogoro, ilikuwa Jumamosi nilisikitika kweli kushindwa kwenda kumwona!

Nilianza kuwa interested naye baada ya kuona game moja alifunga 54 points, hafu anapiga 3s za kutosha, nafikiri ule msimu alivunja rekodi ya Ray Allen kwenye 3 points (sina uhakika sana na hii).
 
..nilisikitika sana siku hiyo niko job..nikaambiwa "eti" yupo don bosco

Pole sana mkuu... Mi sikusikia kabisa, ile kampeni nilijua ni Hasheem pekee ndie alienda. Nasikia walienda mpaka kwenye shule yangu niliyosoma (High School) kule Arusha
 
NkyaH;

Alikuja nakumbuka ilikuwa kitu kama July au August, siku aliyocheza game pale Don Bosco nilikuwa shamba Morogoro, ilikuwa Jumamosi nilisikitika kweli kushindwa kwenda kumwona!

Nilianza kuwa interested naye baada ya kuona game moja alifunga 54 points, hafu anapiga 3s za kutosha, nafikiri ule msimu alivunja rekodi ya Ray Allen kwenye 3 points (sina uhakika sana na hii).

Daaah ndo basi tena.. Sidhani kama his next time to Africa atakuja tena Tanzania..
 
Daaah ndo basi tena.. Sidhani kama his next time to Africa atakuja tena Tanzania..

Kweli, labda aje mwingine tena, rotation yetu imeshaisha.

BTW, kuamkia Ijumaa GSW wana game na kina LeBron, hope ni show nyingine tena ya kuangalia!
 
Kweli, labda aje mwingine tena, rotation yetu imeshaisha.

BTW, kuamkia Ijumaa GSW wana game na kina LeBron, hope ni show nyingine tena ya kuangalia!

Clevs naona nao wako moto kweli sasahivi.. kule kwa kina Westbrook gari nayo ishawaka... Hii round tutapata game nyingi sana nzuri za kuangalia. Ijumaa tuwe wote hapa hayo majira
 
Clevs naona nao wako moto kweli sasahivi.. kule kwa kina Westbrook gari nayo ishawaka... Hii round tutapata game nyingi sana nzuri za kuangalia. Ijumaa tuwe wote hapa hayo majira

Cavs wameongeza wachezaji wanne; Timofey Mozgov, Kendrick Perkins, Iman Shumpert na J R Smith ni moto.
 
Hizi habari kwamba Derrick Rose anaweza ku retire za kweli jameni? Dah namuonea huruma mshkaji , magoti yake sjui yana matatizo gani
 
It is always very special to go home.


[video=youtube_share;riojqRjkkMo]http://youtu.be/riojqRjkkMo [/video]
 
Hizi habari kwamba Derrick Rose anaweza ku retire za kweli jameni? Dah namuonea huruma mshkaji , magoti yake sjui yana matatizo gani

Even if he doesn't retire I think his NBA future is bleak if not kaput.

He will never return to MVP form again if he ever comes back.

The demons of injury will forever linger in his mind.
 
gswcle_logos_250.gif
 
Back
Top Bottom