NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

 
Last edited by a moderator:
Houston wamesalimika fagio, lkn Warriors wasipokua makini to close out the next game anything can happen, like the Clippers series.
 
James anatoa show leo, Kyrie ndani!

Atlanta kinanuka leo.

Halafu LeBron ana injuries kibao lakini kakomaa hadi kieleweke...

Juzi alikua hadi anachechemea, akaulizwa vipi game ya keshokutwa(leo) utapumzika?

Hahaha...akajibu tu hilo sahau
 
Halafu LeBron ana injuries kibao lakini kakomaa hadi kieleweke...

Juzi alikua hadi anachechemea, akaulizwa vipi game ya keshokutwa(leo) utapumzika?

Hahaha...akajibu tu hilo sahau

Dah! Lijamaa lina energy ya kutosha aisee, afu inaonekana Atl wameshindwa kabisa kumkaba, bora Bulls walijitahidi kidogo.
 
It was a great ride while it lasted.

I still believe if Thabo Sefolosha na Kyle Korver were playing we'd have had a much more competitive series.
 
Dah! Lijamaa lina energy ya kutosha aisee, afu inaonekana Atl wameshindwa kabisa kumkaba, bora Bulls walijitahidi kidogo.

Ngoja sasa CAVS wakutane na sniper wa GS.

Halafu nahisi kama vile Kevin Love anaweza kurudi kwenye finals.
 
Back
Top Bottom