Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Kesho ni kesho, asemaye kesho kutwa ni mmbeya!
No I dont think so, not with the Warriors. I have watched the boys play without Curry and they performed so good. You remember the other day? The CAVs were up by 12 points when Curry, Bogut and Klay went to the bench. I am sure you know what happened to the deficit without these three. The boys have teamwork and with Speight now fully recovered I have no doubt they can do it. Nevetheless, it is true they need Curry for the boost "kisaikolojia"For all intents and purposes this series was over the moment Kyrie went down.
Bila Kyrie na Kevin, njia pekee ambayo CAVS wanaweza kupata uhai ni labda ikitokea Steph anaumia na hivyo anashindwa kuendelea na series.
Au utokee muujiza J.R. aanze kutungua zile tatu tatu kama hana akili nzuri kama alivyofanya kwenye conference finals dhidi ya ATL.
Lakini tatizo la J.R. ni consistency....hujui siku gani atacharuka na kuzidungua hizo tatu tatu....na hujui lini atapoa kama maji ya mtungi.
Kukosekana kwa Love na Irving ni pigo kubwa mno kwa CAVS aisee. Nadhani hata kisaikolojia hilo linaweza kuwaathiri.
Ila tusubiri tuone maana it ain't over till the fat lady sings.
No I dont think so, not with the Warriors. I have watched the boys play without Curry and they performed so good. You remember the other day? The CAVs were up by 12 points when Curry, Bogut and Klay went to the bench. I am sure you know what happened to the deficit without these three. The boys have teamwork and with Speight now fully recovered I have no doubt they can do it. Nevetheless, it is true they need Curry for the boost "kisaikolojia"