NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Naona wadau wanaichukulia hii series kuwa imeisha
"The Cavs established dominance once before in this series, then let it slip away. They came back even more dominant in Game 5 and that could well be a good omen.

Letting it slip a second time wouldn't be the best way to go into a series against the Warriors or Thunder.

Game 6 isn't a referendum on Cavs-Raptors. We know the better team. Friday we find out if the Cavs are a good bet to win a title"
 
Yaani kwenye hili jukwaa umebaki pekee mshabiki wa GSW mwenye imani ya kwamba mtafika final.

I like your spirit man.
I"ll be here till the end of this post season..win or lose.This is the only thread that I give my 101%...
Back to GSW....The Warriors have been shocking the world all season long . It's like they're destined to be in this huge hole,they are in and will make an improbable comeback. It'd be a fitting ending to this magical season. "I BELIEVE"
 
Ila hivi Steph Curry kalikimbia Jukwaa. Ananiangusha sana. Mimi sijawahi kukimbia humu Raymundo. Tyta can be a honest witness to this. Shule ndo inanibana tu lakini yet naamka kila Alfajiri kutizama. Naweza nisipost humu lakini sikimbii
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani...yupo anasoma kimya kimya huku akisubiri miracles in California and Oklahoma.

Ila hivi Steph Curry kalikimbia Jukwaa. Ananiangusha sana. Mimi sijawahi kukimbia humu Raymundo. Tyta can be a honest witness to this. Shule ndo inanibana tu lakini yet naamka kila Alfajiri kutizama. Naweza nisipost humu lakini sikimbii
 
OKC within striking distance.
Samahani wandugu, kama kawaida ndio naingia na kukuta HT! Naona mchezo bado mgumu kutabirika...nimemsikia Shaq akitabiri GSW kuanguka, je wengine mnaonaje? Tofauti ya point hizo nane si kitu lakini hamadi kibindoni!
 
OKC leo atapigwa nadhani...amerudia kale kaugonjwa kake ka kutepeta Q4...

Labda utokee muujiza gani sijui ili ashinde...


Wana nafasi nzuri zaidi ya kufunga mahesabu keshokutwa nyumbani kwao. GSW pamoja na kuwa wako kwao bado wnasua sua.
 
Kwa maoni yangu turnovers zimewagharimu tena OKC hasa ukitilia maanani mpaka quarter ya nne bado walikuwa wanakula sahani moja na GSW. Natumai hawatafanya makosa kama ya leo kwenye game 6 Jumamosi, vinginevyo wanaweza kujiweka katika wakati mgumu wa kucheza game 7 ugenini.

Samahani wandugu, kama kawaida ndio naingia na kukuta HT! Naona mchezo bado mgumu kutabirika...nimemsikia Shaq akitabiri GSW kuanguka, je wengine mnaonaje? Tofauti ya point hizo nane si kitu lakini hamadi kibindoni!
 
Yaani BAK turnovers za GSW huzihesabu kabisa, mbona zimekuwa nyingi kuliko za OKC.
 
Yaani kwenye hili jukwaa umebaki pekee mshabiki wa GSW mwenye imani ya kwamba mtafika final.

I like your spirit man.
Bruv, yo forgetting me over here!. It's just I can't watch em live and I'm always late to comment, but I'm here believing on that 29% they gave us to reach the finals. Even if we had only a 12%,I'd still believe. So you #bestbelieve that we are here.
 
Ila hivi Steph Curry kalikimbia Jukwaa. Ananiangusha sana. Mimi sijawahi kukimbia humu Raymundo. Tyta can be a honest witness to this. Shule ndo inanibana tu lakini yet naamka kila Alfajiri kutizama. Naweza nisipost humu lakini sikimbii
We the cut from the same fabric, son!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…