NBA Season 2015 - 2016: Special thread

CAVS... HONGERENI ASEE. Leo mmecheza vizuri na pia mmelipiza kisasi. Hapa naona a 30pts victory ka bench letu lisipotibua digits (not game, the game is already decided).
Mkujje kufurahi bas.
Oh, it's 120-90 end of the game. Leo mmem'prove wrong Stephen A.

As a true sportsman, I congratulate you Raimundo, Nzi, Mchagahalisi, BAK (even though najua we ni old school Bulls, najaribu kuappreciate your multi take on this Series), na opportunists (joking) woote watakaotokea leo.
 
The GSW Bench has been outstanding. .Our starters (esp Curry) needs to pull up their socks. .
Asee Curry nini kinamsumbua, bro?. Tangu zile games za Houston na Portland dah simuoni yule Curry wa regular season tena. Ingawa his presence alone inasaidiaga sometimes.
 
Duh, pump your brakes, son!. Unatuchanganya na hizi C&Ps mara ni commentary ya game ya leo mara ni article ya jana/juzi which is which? Ila karibu asee.

unajuwa tofauti ya Yanayojiri, Tathmini na Habari?
ukielewa maana na tofauti ya hayo maneno basi utaelewa msingi wa posti zangu hapo juu.

karibu sana yakhe
 
Asee Curry nini kinamsumbua, bro?. Tangu zile games za Houston na Portland dah simuoni yule Curry wa regular season tena. Ingawa his presence alone inasaidiaga sometimes.
It's known but we won't make it as an excuse..We believe in #strengthinnumbers, and that is what will make the job done..
 


What's a team when its most important fan is missing? #GSW
 

Ha ha ha, asante mkuu, nyie ni mabingwa bana, acheni kulia lia, mimi niliwapongeza kwa zile game 2 za kwanza na nikawaambia series bado sana.

Watu wamekimbia jukwaa baada ya kuona King anaadhirika ha ha ha, mimi nitabaki humu wakuu mpaka tunauchukua huu ubingwa, nimeona kuna wadau wanaanza kusema ooh, Curry is not fit, msianze sababu mapema hii.
 

Ha ha ha, mkuu umetumiwa PM za vitisho nini?

Mbona mmeanza kukimbia wakati mnaongoza nyie jamani?
 
Ha ha ha, watu wanaogopa kuzomewa timu yao ikifungwa!

Poa mkuu, umeona tulivyojibu lakini? Kama Curry akiendelea kucheza anavyocheza hii series inaweza ikawa ngumu kwenu, kitu ambacho nisingependa kukiona, nataka tuwapige mkiwa wote fit.
Nimeona mkuu na ndio maana nkawapongeza!.
 


Hii picha imepigwa kwenye game ya leo/jana... Lebron akishangilia huku Green akimcheka.. Hii picha ukiangalia kwa makini ina definitions nyingi sana...

Mimi naanza na hii.. "Warriors na NBA ilibidi wakae chini wanegotiate ni vipi wapate mapato pale Quicken Loans Arena na suluhisho likawa Cavs wakifungwa game 3 basi game 4 watajitokeza mashabiki wachache mno hivyo kukosekana mapato.. Warriors wakaombwa basi ili game 3 na 4 zote ziuze basi game 3 wamwachie Cleveland kushinda ili game 4 ivute mashabiki wengi zaidi kuingia uwanjani na PPV.. Ndio maana hapa Dray anamcheka tu The King kwakuwa anajua dhahama atakayoenda kuipata game 4 na 5.."

Wadau wengine mnakaribishwa kuitafsiri hiyo picha..
 
Hahaha ndugu angu Steph ni Marketing Analyst so mueleweni hivyo hivyo. Na Kerr akakubali tu hiyo plan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…