NBA Season 2015 - 2016: Special thread

NBA Season 2015 - 2016: Special thread

We don't want A Rusty Curry against Spurs/OKC..on the other side Precautionary Measures to avoid further injuries is important as well..Lets see how it will pan out..In the meantime "#Strengthinnumbers" triumphs.

Sure, but you had rather want a Rusty Curry for one or two games than an injured one for the rest of the season.
 
Hii series kwangu iliisha game 3 baada ya kuona video ya kina D12 wanaacha kushangilia (tena wanaonekana kuchukia) ile last short ya James Harden.

Hii timu wanatakiwa kumuuza Dwight Howard haraka sana, otherwise atakuwa ni cancer ambayo itasambaa timu nzima.

BTW, conglats for advancing.
Howard alishakuwa kwenye vacation mood Harden akaja kutibua.. And by the way it was an offensive foul..
 
It wasn't a sweep but three blowout wins are impressive too... Warriors posted blowout wins with margins of 26, 27, and finally 33 points in their gentleman's sweep..
 
Sisi sio wa visingizio bana... Hata Curry akikaa nje tutawapiga tu... Umesahau tumewapiga blowout 2 aisee

Hayo maneno ni kabla, siku ukipigwa kiukweli utayasahau, mimi nataka tukutane mkiwa full! Blowout za regular season siyo issue kwa playoff.

Kwanza vukeni kigingi cha SAS/OKC ndo mje kupata kipigo.
 
Yaani pona pona yenu ni kutoingia Fainali.

Maana hasira za kisasi mtakazokutana nazo mtachoka wenyewe.

Hizi tabiri, duh...


Flashback - January 14, 2016
I know you know it. It is pretty tough in the West. Spurs and OKC are tough teams to beat. As I have said if Spurs keep on playing this good defensively, they will take the Conference championship.
Kwa ufahamisho tu Spurs hawakuchukua ubingwa wowote, GSW waliwatandika nyumbani kwao mchezo wa mwisho. Hakukuwa na cha Kawhi, Aldridge, Tim, Ginobili, Green, Marjanovic, Green, Tony Parker wala nini...walibebeshwa mzigo wa vikapu.

Fastforward - April 28, 2016

Haitakaa itokee hiyo, na ole wenu tukutane Final ndo mtajua kama msimu huu ulikuwa wa kuvunja rekodi na siyo wa kuchukua ubingwa.
Last time CAVs walipokamia hivyo, GSW hawakuwa na huruma nao nyumbani kwao. Hadi leo Quicken Loans Arena hawana hamu na Curry and the Dub Nation. Kocha kutoka Israeli akawa ndiye victim wa kwanza, mbuzi wa kafara. Mbona tu wasahaulifu kiasi hiki? Mbona mnapenda sana ligi za mtandaoni?
 
Natoa pongezi kwa Atlanta Hawks kwa kufuzu kuingia quarter fainali baada ya kuitoa Celtics ya Boston 4-2 na sasa mechi yake ya kwanza dhidi ya Cavaliers ya Cleveland siku ya Jumatatu, tarehe 2/5/2016, inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wa Basketball.

Wakati huo huo leo timu sita zinaingia uwanjani tatu zikiwa kwenye hati hati ya kutolewa kama watafungwa. Timu hizo ni Clippers ya LA dhidi ya Trail Blazers ya Portland, Heat ya Miami dhidi ya Hornets ya Charlotte na Pacers ya Indiana dhidi ya Raptors ya Toronto.

Mpaka sasa timu zilizokwisha fuzu ni tano nazo ni Spurs, Cavaliers, OKC, Hawks na GSW. Timu ambazo tayari wapinzani wake wamejulikana ni hizo tatu za kwanza. GSW baada ya kuitoa Rockets ya Houston 4-1 inasubiri mshindi kati ya Clippers na Trail Blazers kumjua mpinzani wake..

Hakika leo asiye na mwana itabidi aeleke jiwe. Nazitakia timu zote husika kila la heri.
 
Update...

Pacers
wamemkatalia Raptors, hatutoki ng'o! Kwa ushindi wa leo 101-83, sasa ni 3-3 na bila shaka Jumapili ataumia mtu kwani moja lazima atolewe. Miami Heat nao wamekuja juu kwa Hornets na mpaka sasa ni 83-76 na dakika zilizobaki ni 7:10. Je nao watapona? Tuendelee kufuatilia.
 
Miami Heat naye kasalimika kakataa kukubali kwa Hornets ya Charlotte kwa kumfunga 97-90 na sasa inasubiriwa game ya saba nyumbani kwa Miami siku ya Jumapili 5/1/2016.

Clippers ya LA nayo naona imekaza mkanda na sasa dakika ya nane quarter ya pili wanaongoza kwa 30-28...Hata hivyo baada ya kuumia kwa mchezaji mwingine Rivers mambo si rahisi kwao na nafasi kubwa wanapewa Portland Trail Blazers.
 
Back
Top Bottom