Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Duh! Ukimya humu leo unatisha...niliacha kwanza wenyewe waseme lakini sijui wamekuwaje. Haya sasa ni HT na naona 57-41 kwenye ubao na Toronto naona wanashangilia vipi tena?Sijawahi kwenda likizo, nainjoy game tu.