RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Green should be up there not Klay......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Green should be up there not Klay......
Hivi nilisemaje vile kuhusu hii matchup ya GSt. na CAVS?
Halafu....Eastern conference iko weak sana sasa hivi. Na ndo maana hata LeBron ameweza kufikia kwenye fainali mara sita mfululizo.
Na binafsi naamini sasa hivi CAVS hawana kabisa confidence kuwa wanaweza kuwafunga GSt. Hawajiamini kabisa. Ni kama wanawaogopa Warriors.
GSt. wamo vichwani mwa Cleveland. Na wasipofagiliwa nitashangaa sana.
Labda tu Warriors watake safari hii kunyanyulia kombe nyumbani na hivyo kulegeza kidogo kamba na kuwaachia CAVS walau ushindi wa kufutia machozi.
Hebu fikiria hili....hivi huoni kwamba Finals za mwaka jana zilikuwa na ushindani mkubwa sana licha ya Cleveland kuwa na majeruhi ya nyota wake?
Mwaka huu wako hovyo kweli wakati Warriors wamekuwa wazuri zaidi.
Nimekaa nikawaza ndugu zangu kuwa LeBron needs to win this ring though ni mission impossible to name it.
Next season namwona kabisa Pat Riley akimchukua Kevin Durant aiseeee. I'm sure Wade will agree for a pay Cut kutengeneza timu bora.
Kevin Durant pia atakubali pesa iliyokuwa ndogo kupata a complete squad.
Bosh
Luol Deng
Kevin Durant
Dwayne Wade
Goran Dragic.
Na kama Hassan Whiteside akikubali kubaki itakuwa balaa with the Joe Johnson and Richardson available bila kusahau Justice Winslow
GSW imeingia tena kwenye lile kundi lililo-defy odds kwa kuwageuzia kibao OKC, from 1-3 to 4-3! Ni timu chache sana zilizoweza kufanya hilo na fundisho hapa ni kwamba kwa Warriors it ain't o'er til it's o'er. Historia ya GSW itakapoandikwa itakuwa na mengi mapya lakini la msingi litakuwa ni jinsi walivyoweza kui-revolutionize mchezo wa Basketball!
Kwa mara nyingine chuki za Barkley kwa Warriors zilijidhihirisha alipotamka kwa mdomo wake kuwa OKC wangeitoa Warriors katika mchezo wa jana. Ningekuwa yeye ningeachana kabisa na hizo tabiri zinazokufanya uonekane **** kabisa asiyejua hata anachoongelea! Ni aibu kubwa kwa hall famer kujidhalilisha kama anavyofanya Charles Barkley!
Mkuu mmenyeshwa dawa mliyokuwa mkiwanywesha wenzenu.
Na as far as strenth in numbers is concerned, GSW wana total points 699 na Cavs wa 703 kwa series nzima.
Bila kusahau kwamba mlishinda game zote 3 kwenye regular season!
Tabiri zake zinanikumbusha that moment when,"Superstitious beat Science"
It's time for Lebron, CP3, Wade and Mello to gang up on one franchise... There is no way for Lebron to win another ring, haitakaa itokee labda wakubali a pay cut kwa misimu angalau miwili ndio waje kupambana na hii Warriors.. Lebron na vichezaji vya East vyote hakuna wa kumsimamisha Warriors kwenye series, wala hii OKC assuming KD akibaki, wala Spurs..
I see the golden state warriors has been a bunch of undefeatable dudes .
Someone said the guys has got an ability of mastering the art of comeback .that's the way they do.
Hope they will endure to strengthening their numbers .This is their era.
Someone said that"it's not over until the fat lady sings" hahahahhahahaha[emoji23] [emoji23]
The dubs nation vs the cavs village is like the then ROMA empire against Thrace .
The shadow of the "warriors" is too vast[emoji119] [emoji119]
The NBA Finals were GSW vs OKC Thunder.
Not the mismatch we have here between GSt. and Cleveland.
I'd even venture to say this GSt. team can beat Cleveland without the services of Steph Curry.
They are just too good, they are hungry, their will to win is immeasurable, and most importantly, I think, they want to validate their championship from last year.
Therefore they have a point to prove.
I don't see this series going past four games unless GSt. takes the foot off the pedal and decides to seal the deal at their home court for the fans.
Dah, sio nashangilia sana, ila Raimundo na Nzi pamoja na waumini wenu...ni nini kitakuwa kisingizio chenu this time around (kama tukiwapiga tena)?
Coz sio kwa such biggest point differential, 48pts,after 2 games. Kweli leo nlitegemea mfanye comeback ka ya mwaka jana angalau hii series inoge, lakini wapi!.
At the end of the day nahofia sana msije mkashindwa (kumbuka nimetumia neno "nahofia" na si "mtashindwa") kwa a sweep (hii naona itakuwa ngumu) au something close to 4-1. Coz mtakuwa mmeondoka na title ya" a failed campaign" kupiga kote zile "fo'fo'fo" af mje kuflop kwa this proportion asee sijui mtasingizia nini this time.
When Dubs were grinding in the regular season for the home court advantage throughout the playoffs,some folks never took them serious. .They' be like"Wait come play off time".."Regular season means nothing"
Now It's playoff time...And Regular season means something. ..
Hahaha, dah ushaniwahi! Asee mbona hawaonekani tena!?
Eti regular season si kitu, ngoma iko kwenye finals! Yaani nyumba ijengwe tu hata kama msingi ni mbovu. Wakati mwingine tujaribu kuwa serious kwenye comments...fikiria kwenye regular GSW washinde michezo 73 katika 82 halafu wanatokea watu wanabeza wakisema hawafiki popote? Katika fainali ambazo sina wasi wasi hata kidogo ni hii ya safari hii na kama nilivyosema awali ni sawa na kumsukuma mlevi.
Mkuu hakuna mahali niliposema wamenikatisha tamaa in terms ya series nzima, nimesema hawajacheza vizuri game 1 na 2 ila siyo kukata tamaa kabisa.
Bado nafasi tunayo, 2 bila siyo gap kubwa if your team have a King.
Ni sawa mkuu na ndio maana wewe utabaki kuwa shabiki mwanamichezo kwa wale Anti Warriors hapa.. Labda kidogo na huyu mchagahalisi ingawa yeye wengi tunamwona kama Comedian hapa teh teh teh..
Tulivyoshinda hizi game wewe umekuwa muwazi kwamba Cavs wamekukatisha tamaa na Warriors imestahili lakini wengine kabla hata ya kuipa credit timu pinzani wao wanakimbilia kutoa maneno ambao yako nje ya mchezo. Na ndio maana kwenye post yangu moja hapa nilisema hatuongelei basketball tena watu wanaanza kuongelea ratings..
Swahiba wangu BAK alikuwa anachekelea sana Warriors walivyokuwa wananyanyaswa na OKC kwenye game 3 na 4 na series kwenda 3-1 wala hakusema Series hizo hazimvutii kuangalia teh teh teh
Never underestimate the heart of a champion