NBC League Kuu ya Tanzania

NBC League Kuu ya Tanzania

nditolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
3,731
Reaction score
4,271
Simba na Yanga zote zimecheza match 26 hivyo zimebaki match 4.

Niko zaidi upande wa Yanga ambayo imebakiza michezo miwili Mbeya kati ya Prison na Mbeya city pia ina michezo na Dodoma Jiji pamoja na Singida big stars.

Simba ina point 63 na Yanga point 68.

Kwa mujibu wa Alex Lwambano anaihakikishia kuwa Yanga itakuwa bingwa. Sasa Mbeya City na Prison ziko chini zinapigania kutoshuka daraja. Point iko hapo!

Mbeya City haiwezi kukubali ifungwe na Yanga halafu yenyewe ishuke daraja. Vile vile kwa prisons haiwezi fanya hivyo.

Kutokana na hali hiyo na msimamo na aina ya team ambazo Yanga itakutana nazo, kuna uwezekano mkubwa Yanga ikaukosa ubingwa.

Wakazi wa mkoa wa Mbeya ni tofauti na wale wa Mwanza. Mwanza wanauwezo wa kuipigania Yanga ichukue ubingwa ila team yao ya toto au pamba ishuke daraja lakini sio kwa Mbeya.

Kwa hali ilivyo Yanga ina mazingira magumu ya ubingwa kuliko Simba SC.
 
Simba na yanga zote zimecheza match 26 hivyo zimebaki match 4

Niko zaidi upande wa yanga ambayo imebakiza michezo miwili Mbeya kati

1. Prison
2. Mbeya city
Pia Ina michezo
3. Dodoma Jiji
4. Singida big stars.

Simba Ina point 63 na yanga point 68

Kwa mujibu wa Alex Lwambano anaihakikishia kuwa yanga itakuwa bingwa.

Sasa Mbeya City na prison ziko chini zinapigania kutoshuka daraja. Point Iko hapo!

Mbeya city haiwezi kukubali ifungwe na yanga alafu yenyewe ishuke daraja. Vile vile Kwa prisons haiwezi fanya hivyo.

Kutokana na hali hiyo na msimamo na aina ya team ambazo yanga itakutana nazo Kuna uwezekano mkubwa yanga ikaukosa ubingwa.

Wakazi wa mkoa wa Mbeya ni tofauti na wale wa Mwanza. Mwanza wanauwezo wa kuipigania yanga ichukue ubingwa ila team Yao ya toto au pamba ishuke daraja lakini sio kwa Mbeya.

Kwa hali ilivyo yanga ina mazingira magumu ya ubingwa kuliko Simba sc
Subiri matusi ya kuitwa kolo au mbumbumbu maana wakandwaji wamechanganyikiwa vibaya mno.
 
Simba na yanga zote zimecheza match 26 hivyo zimebaki match 4

Niko zaidi upande wa yanga ambayo imebakiza michezo miwili Mbeya kati

1. Prison
2. Mbeya city
Pia Ina michezo
3. Dodoma Jiji
4. Singida big stars.

Simba Ina point 63 na yanga point 68

Kwa mujibu wa Alex Lwambano anaihakikishia kuwa yanga itakuwa bingwa.

Sasa Mbeya City na prison ziko chini zinapigania kutoshuka daraja. Point Iko hapo!

Mbeya city haiwezi kukubali ifungwe na yanga alafu yenyewe ishuke daraja. Vile vile Kwa prisons haiwezi fanya hivyo.

Kutokana na hali hiyo na msimamo na aina ya team ambazo yanga itakutana nazo Kuna uwezekano mkubwa yanga ikaukosa ubingwa.

Wakazi wa mkoa wa Mbeya ni tofauti na wale wa Mwanza. Mwanza wanauwezo wa kuipigania yanga ichukue ubingwa ila team Yao ya toto au pamba ishuke daraja lakini sio kwa Mbeya.

Kwa hali ilivyo yanga ina mazingira magumu ya ubingwa kuliko Simba sc
Kwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.
 
Simba na yanga zote zimecheza match 26 hivyo zimebaki match 4

Niko zaidi upande wa yanga ambayo imebakiza michezo miwili Mbeya kati

1. Prison
2. Mbeya city
Pia Ina michezo
3. Dodoma Jiji
4. Singida big stars.

Simba Ina point 63 na yanga point 68

Kwa mujibu wa Alex Lwambano anaihakikishia kuwa yanga itakuwa bingwa.

Sasa Mbeya City na prison ziko chini zinapigania kutoshuka daraja. Point Iko hapo!

Mbeya city haiwezi kukubali ifungwe na yanga alafu yenyewe ishuke daraja. Vile vile Kwa prisons haiwezi fanya hivyo.

Kutokana na hali hiyo na msimamo na aina ya team ambazo yanga itakutana nazo Kuna uwezekano mkubwa yanga ikaukosa ubingwa.

Wakazi wa mkoa wa Mbeya ni tofauti na wale wa Mwanza. Mwanza wanauwezo wa kuipigania yanga ichukue ubingwa ila team Yao ya toto au pamba ishuke daraja lakini sio kwa Mbeya.

Kwa hali ilivyo yanga ina mazingira magumu ya ubingwa kuliko Simba sc
huyu ana hoja , mtakuja kumkumbuka.
 
na huko mbeya sugu yupo ktk harakati zake katoa ahadi kila goli ni 1m dah ndo uyam wa ligi
Mkoa mzima umeungana team zisishuke daraja.

Kuna alarm mbaya kwa yanga nadhani Bado league ni ngumu kwao
 
Simba na yanga zote zimecheza match 26 hivyo zimebaki match 4

Niko zaidi upande wa yanga ambayo imebakiza michezo miwili Mbeya kati

1. Prison
2. Mbeya city
Pia Ina michezo
3. Dodoma Jiji
4. Singida big stars.

Simba Ina point 63 na yanga point 68

Kwa mujibu wa Alex Lwambano anaihakikishia kuwa yanga itakuwa bingwa.

Sasa Mbeya City na prison ziko chini zinapigania kutoshuka daraja. Point Iko hapo!

Mbeya city haiwezi kukubali ifungwe na yanga alafu yenyewe ishuke daraja. Vile vile Kwa prisons haiwezi fanya hivyo.

Kutokana na hali hiyo na msimamo na aina ya team ambazo yanga itakutana nazo Kuna uwezekano mkubwa yanga ikaukosa ubingwa.

Wakazi wa mkoa wa Mbeya ni tofauti na wale wa Mwanza. Mwanza wanauwezo wa kuipigania yanga ichukue ubingwa ila team Yao ya toto au pamba ishuke daraja lakini sio kwa Mbeya.

Kwa hali ilivyo yanga ina mazingira magumu ya ubingwa kuliko Simba sc
mbona Simba hujaitafuta
 
Kwamba Simba atashinda mechi zote sio? Haya tufanye Simba itashinda mechi zake zote, ila tambua kuwa Yanga mpaka anaenda Mbeya atakuwa tayari ana point 6 atakazopata dhidi ya Singida na Dodoma. Hivyo kule mbeya atakuwa anahitaji alama mbili tu kutangaza ubingwa.
Nina uhakika yanga Wana alama tatu dhidi ya singida.

Lakini Dodoma kuna hatihati.

Sasa ukiangalia na msimamo pia na kule nyanda za juu kusini na mvua hizi.

Lolote linaweza kutokea
 
Nina uhakika yanga Wana alama tatu dhidi ya singida.

Lakini Dodoma kuna hatihati.

Sasa ukiangalia na msimamo pia na kule nyanda za juu kusini na mvua hizi.

Lolote linaweza kutokea

Una uhakika wewe kama nani? Wewe ni Mungu? Au ni mchezaji unayecheza uwanjani? Au upo sehemu ya benchi la ufundi? Unasemaje una uhakika wakati mpira uchezi wewe? Yanga kacheza michezo 26 kapoteza game mbili tu je kipi kinachokufanya uwe na uhakika?
 
Back
Top Bottom