Tulia uto angalia kabumbu Safi.Ngoja nikuchungulie hapo kwenye handaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia uto angalia kabumbu Safi.Ngoja nikuchungulie hapo kwenye handaki
Tupo hapa tunawachora tu navyojitapa hapaMmetoka kwenye mashimo eeeh
Mmefufuka toka mashimoni 😂Tulia uto angalia kabumbu Safi.
Mbona mnalazimisha mamboMmefufuka toka mashimoni 😂
Usimeze hizo Panadol mkuuTupo hapa tunawachora tu navyojitapa hapa
mmmh, huu ushabiki umepitiliza, utapata magonjwa yasiyoambukizwa. Yaani unahuzunika kabisa utadhani ni shabiki wa Dodoma FC? 😂😂😂Duuu.....
Mnaibuka baada ya kagoli ka hapa na paleMbona mnalazimisha mambo
Bado kimoja!Ft: SIMBA 2-0 DODOMA
Mi mgogo lazima niisapoti timu ya homu mkuu🤣🤣mmmh, huu ushabiki umepitiliza, utapata magonjwa yasiyoambukizwa. Yaani unahuzunika kabisa utadhani ni shabiki wa Dodoma FC? 😂😂😂
Meza dawa ya maumivuMnaibuka baada ya kagoli ka hapa na pale
tukalalamike kwa mamaNdio magoli yenu hayo ya kindondokera
Hata kimataifa tunapata hizo dead ballsTimu Bila Mipira Iliyokufa Haipati Matokeo Jitafakari Mapema Aisee.
Huna lolote utopoloMi mgogo lazima niisapoti timu ya homu mkuu🤣🤣