Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Haina shida mikia wetuHuna lolote utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida mikia wetuHuna lolote utopolo
GSM katuma muamalaHawa Dodoma huko vyumbani mmewaahidi nn?.....saizi hawasomeki kabisa
Sijui kwa nini FIFA waliamua kuwepo mipira ya kufa. Ilitakiwa kusiwepo free kick, direct kick, kona na penati. Ilitakiwa mchezo uwe unaendelea tu usisimameTimu Bila Mipira Iliyokufa Haipati Matokeo Jitafakari Mapema Aisee.
Aaah ungesema Zungu ningekuelewaGSM katuma muamala
Unajua kuna mechi ya muhimu zaidi mbele yetu, so lazima upangaji wa kikosi lazima uzingatie hiloDefense ya simba bado sio ya kuaminika, hususani asipokuwepo enonga