na hii nayo tuiorodheshe katika malalamiko ya kumpelekea mamaYaani makolo wamenunua hii mechi live kabisa, ebu ona dodoma mji wanavyo cheza utadhani wananafunzi wa darassa la sita c????! Sijui takukuru wako wapiii??
Unaumwa mkuu, tupitishe mchango ukatibiwe?2-2 dk81
Huku Bwalya alikopita ndiyo kumenishtuaUlikuwa uzembe wa mabeki wa dodoma mpaka kipa akatoka kumfuata yule mfungaji butu.
Pale angekuwepo mwamnyeto au bangala unadhani wangeachia kizembe vile
Nakupa apudeti,huko umeme si umekatika?Unaumwa mkuu, tupitishe mchango ukatibiwe?
Huko chenjingi rooms kwani Zungu aliingia?Bahasha zimetembea kwa dodoma ,bila bahasha hizi pampula haziwezi kushinda
Ni kweli kabisa, kwa kununua mechi tuu simba wamezidii!!!na hii nayo tuiorodheshe katika malalamiko ya kumpelekea mama
Sasa tumeshajua wazi miamala inapotolewaHuku Bwalya alikopita ndiyo kumenishtua
Pigia mstariHuko chenjingi rooms kwani Zungu aliingia?
Kocha naye anazingua,mechi ngumu kama hii kwa nini anawaweka benchi Mwamnyeto na Bangala?Pale angekuwepo mwamnyeto au bangala unadhani wangeachia kizembe vile
HatariSasa tumeshajua wazi miamala inapotolewa
Mi inakula kwangu, maana niliweka mzigo jumla ya magoli matatu bila kujali yanatoka wapi. Hapa naombea Dodoma wapate moja au Simba waongeze la tatuWaache wapoteze muda wanafikiri saizi nani wanaye mkomoa wakati tuko mbele kwa goli 2