Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
warundi wanaipenda kiswahili Ila inawakataaKuhonja ndio nini, akili mbovu hata kiswahili kibovu pia ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
warundi wanaipenda kiswahili Ila inawakataaKuhonja ndio nini, akili mbovu hata kiswahili kibovu pia ..
Sijui media gani unayoisema, ila mi sioni Simba ikipambwa hukoSimba imekuwa timu ya kucheza kwenye media zaidi kuliko uwanjani.
mwekezajiKwa sare hii tutamfukuza nani
mbona hukusema wamekataliwa goli?Baoooo...
Bwalya anafunga kwa penati..
Simba 1- 0 Polisi
Chizi vitabu anaamini ni Yanga anahusika kutoa pesa kwa timu pinzani kumbe ni timu mbovu tuKumbe hatukamiwagwi bali tuko wabovu aisee...
Mtukutu Morrison Kaiamua Mechi...!
Hivi Utopolo Wamefikia Wapi na Ile kesi..?
yani watu mechi ya tatu tu lawama kibaoTusisahau musimu uliyopita Polisi waliifunga Simba ya Chama & Konde boy
Umeona mkuuUtakuwa ushindi wa kubahatisha tu na juhudi za mchezaji binafsi.
Goli la kagere ulioni,penati ni sehemu ya mchezo sio hisaniMaskini bila penati ushindi ni draw,hii timu tunakazi sana,wala hakuna haja ya kushangilia sana maana tunacheza kama tunabahatisha tu.
Vipi goli la Yanga vs Kagera Sugar alilofunga Fei Toto? Au ndio vile Nyani haoni kunduleHakuna tena magoli ya offside msimu huu! Waamuzi wameamua kusimama kwenye haki.
Pambaneni mpate ushindi wa haki. Kinyume na hapo, matavuna mtakacho panda.
mbona hukusema wamekataliwa goli?
Weka video yake hapa lijadiliwe Kama lina shida yoyoteVipi goli la Yanga vs Kagera Sugar alilofunga Fei Toto? Au ndio vile Nyani haoni kundule
Kiongozi lile Goli lilikuwa clear offside. Jamaa wa Kagera Sugar alivyotaka kumlamba chenga Yacouba kama sikosei aliucheza na ukaenda kwa Mayele ambaye alikuwa offside alivyopiga shuti keeper akatema ndio ukakutana na Fei Toto. Sema ile watu wengi hawakuionaWeka video yake hapa lijadiliwe Kama lina shida yoyote
Angalia vizuri hapo. Mayele alikuwa offside wakati pasi ikipigwa na Yacoba. Baada ya Mayele kupiga keeper akatema ndio ikakutana na Fei Toto kama rebound.Weka video yake hapa lijadiliwe Kama lina shida yoyote
Weka videoAngalia vizuri hapo. Mayele alikuwa offside wakati pasi ikipigwa na Yacoba. Baada ya Mayele kupiga keeper akatema ndio ikakutana na Fei Toto kama rebound.
Halafu mtu anakwambia mwaka huu hakuna magoli ya offside.View attachment 1988880
Wawa kiazi tutimu ni mbovu ,sema unaweza kushangaa kimataifa ikafika mbali hivi na kwenye ligi ,heri hata hivi wajione ni wabovu kuliko kuleta ule ufaza wa kijinga ,leo nimefurahi Wawa kutokwepo kwenye kikosi
Kitu gani ambacho huelewi hapo. Kama ni video ingia YouTubeWeka video
Hana bando huyo. Kaweka la jero halafu anataka connection!!!!Kitu gani ambacho huelewi hapo. Kama ni video ingia YouTube View attachment 1989303
Simba, vilevile, wasitegemee sana kushinda mechi zao kupitia penalti, hii pia itawagharimu sana.Sijui media gani unayoisema, ila mi sioni Simba ikipambwa huko