endeleeni kutushikia nafasi yetu
Na wala hatuna furaha...Na wala haturingi.
Huu utakuja kuukimbia kama ulikimbia kweni nyuzi zako mayele vs kibu na ule uliojifanya mhasibu kumdhihaki aziz ki
Na wala hatufukuzi wazeeNa wala hatuna furaha...
Kama una msimamo wako mwingine weka. HukatazwiMuda wa kufukua makuburi ukifika tusikimbie Tu Uzi [emoji28]
Unaingizwaga mkenge kiboya sanaNafasi ya pili imekuwa na ushindani sana
Yani leo akikaa Azam basi kesho Yanga anapindua meza.
kibao kimegeuka watu wanalia daily.Nafasi ya pili imekuwa na ushindani sana
Yani leo akikaa Azam basi kesho Yanga anapindua meza.
Ikawaje tena muzeye.....Nafasi ya pili imekuwa na ushindani sana
Yani leo akikaa Azam basi kesho Yanga anapindua meza.
Mwisho wa msimu mbali sana,Ngoja nami niwe sehemu ya kumbukumbu kwenye huu uzi. Mleta uzi ni yule yule na aliyefuatia ku comment ni yule yule kwenye uzi uliogeuka kuwa shubiri. Ngoja tuone kama mleta uzi kapona ugonjwa wa gundu au bado. Majibu tutapata mwisho wa msimu, kuna mexhi zaidi ya 20 zimebakia
AahaaaaaaKama una msimamo wako mwingine weka. Hukatazwi
Shida kimbelembele chakehili jamaa ndio linalotia gundu timu yetu ya Simba bora liwe linanyamaza!!
Majibu umeyapata mapema kabisaNgoja nami niwe sehemu ya kumbukumbu kwenye huu uzi. Mleta uzi ni yule yule na aliyefuatia ku comment ni yule yule kwenye uzi uliogeuka kuwa shubiri. Ngoja tuone kama mleta uzi kapona ugonjwa wa gundu au bado. Majibu tutapata mwisho wa msimu, kuna mexhi zaidi ya 20 zimebakia