changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Ngoja nami niwe sehemu ya kumbukumbu kwenye huu uzi. Mleta uzi ni yule yule na aliyefuatia ku comment ni yule yule kwenye uzi uliogeuka kuwa shubiri. Ngoja tuone kama mleta uzi kapona ugonjwa wa gundu au bado. Majibu tutapata mwisho wa msimu, kuna mexhi zaidi ya 20 zimebakia