Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Cha tangazo au nini Twiga ni Twiga na rangi zake zinajulikana. Huwezi kutoutiana sana na ukweli. Ni kama vile mtu achore picha wa Rais wa TFF awe na rangi na macho kama mzungu kila mtu atakupinga.Unazungumzia twiga mnyama au tanganzo la kibiashara lenye picha ya twiga..
Kwahiyo picha lazima iwe tofauti na mwenye picha? Yaani unaweza kuwa na picha ya Simba kwenye mikia 2, macho 3 na rangi ya kijani?SASA wewe kwenye logo ya NBC umeona twiga au picha ya twiga??? Luc hakukosea kuwaita nyie nyani