NBC Wamemtoa Wapi Twiga Mwenye Rangi Nyekundu

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Unazungumzia twiga mnyama au tanganzo la kibiashara lenye picha ya twiga..
Hakuna Cha tangazo au nini Twiga ni Twiga na rangi zake zinajulikana. Huwezi kutoutiana sana na ukweli. Ni kama vile mtu achore picha wa Rais wa TFF awe na rangi na macho kama mzungu kila mtu atakupinga.
 
SASA wewe kwenye logo ya NBC umeona twiga au picha ya twiga??? Luc hakukosea kuwaita nyie nyani
Kwahiyo picha lazima iwe tofauti na mwenye picha? Yaani unaweza kuwa na picha ya Simba kwenye mikia 2, macho 3 na rangi ya kijani?
 
NBC Wana zoo yenye Twiga wekundu? Yanga ndio timu kubwa yenye watu wengi na wenye uwezo mkubwa wa kununua, kuweka benk na kuingia viwanjani kutizama mechi. NBC lazima waisikikize yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…