kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
maudhui hapa nimeulizwa jina na kuambiwa tunashukuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ntolee hiyomaudhui hapa nimeulizwa jina na kuambiwa tunashukuru
Umeshadukua tayari mpaka umejua kama walijiandikia posho.Haina maana kukaa kimya katani usiwape lawana katani wao wanafanya kutokana na muongozo wa NBS kulikuwa na maana gani NBS kusema watu waombe kupitia online at the zoezi linafanyika kawaida tukisema ni ufisadi na ufujaji wa pesa za umma tunakosea
Watu wanekaa wamejiandikia posho mwisho wa siku jukumu lile linarudi ngazi ya chini si uhuni huo na kubaini uhuni na haya madudu Ina maana walikaa kujiandikia posho kwa kazi ambayo hawakuijua
Wabongo ni mabingwa sana wa kupindisha ukweli,unaweza kuta mtu hakukamilisha maombi vizuri,leo analialia kwenye mitandaoMimi niliomba Maudhui na kuna Binamu yangu nae aliomba Maudhui Kata ya Pugu Wilaya ya Ilala, Dar Es Salaam na wote tumeitwa na Usaili tumefanya jana tarehe 20/07/2022. Tatizo vijana wanakosea katika kutuma maombi halafu wanakuja kulalamika
Wengi ndivyo walivyo na ukiwaambia ukweli wanakuona snitch,imagines mtu anaulizwa ataje Wazamini wake aliojaza kwenye maombi hawafahamu kabisa.Wabongo ni mabingwa sana wa kupindisha ukweli,unaweza kuta mtu hakukamilisha maombi vizuri,leo analialia kwenye mitandao
Hivi ww ni mbongo au mkenya!?Wengi ndivyo walivyo na ukiwaambia ukweli wanakuona snitch,imagines mtu anaulizwa ataje Wazamini wake aliojaza kwenye maombi hawafahamu kabisa.
Hii kauli inanifikirisha sana kuwa watu makini ni walimu.... Huwa naendelea kujiuliza kwani hamna watu wa kada nyingine tofauti ya ualimu waliomba na wao pia wakiwa smart vilevile kama walimu?Ili kazi ya Sensa iwe serious kweli bora wawatumie waalimu na sio kila tu aliyeapply au eti makada wa vyana vya siasa.
Hili ni zoezi sensitive...wawekwe watu wenye uwezo wasije kuharibu kazi.