Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Lazima awepo na walimu wakuu watanoAfisa watendaji ni wasenge wasiwepo kwenye interview wakiwepo hampati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima awepo na walimu wakuu watanoAfisa watendaji ni wasenge wasiwepo kwenye interview wakiwepo hampati
Wapo ambao siyo walimu na wamechaguliwa na walishaanza mafunzoNdio hivyo majina ya sensa yametoka lakini nafasi zilizorudi ni Karani wa sensa na Afisa Tehama tu,
Na baadhi ya maeneo ndio Kuna wasimamizi wa maudhui.
Kumbe hizi nafasi za usimamizi wa maudhui (content supervisor) wamewekewa walimu wakuu!
Kwanini Toka awali hiki kipengele msikitoe?
Kumbe tayari mna watu wenu?
Hii sio haki na kama vipi wale waliomba usimamizi wa maudhui basi wapeni ukarani kuliko kuwachinjilia mbali halafu sensa ijayo muwe wazi kabisa kuweka nafasi zenu za kazi, zile ambazo mna watu wenu basi msiweke option ya kuomba kwenye mfumo.
Inasikitisha sana.
Dah! NomaKaribu Tanzania!
Zima simu Yako! Halafu pembeni unaambiwa Lipa kwa mpesa!
Mkuu naomba unitumie na mm pmNimeshakupata ninacho sasa hivi
Jamani na mimi naomba kitabu hicho.Mkuu naomba unitumie na mm pm
Mkuu pakacha lisha mwagika usisoneneke sanaa inatosha inatoshaNdio hivyo majina ya sensa yametoka lakini nafasi zilizorudi ni Karani wa sensa na Afisa Tehama tu,
Na baadhi ya maeneo ndio Kuna wasimamizi wa maudhui.
Kumbe hizi nafasi za usimamizi wa maudhui (content supervisor) wamewekewa walimu wakuu!
Kwanini Toka awali hiki kipengele msikitoe?
Kumbe tayari mna watu wenu?
Hii sio haki na kama vipi wale waliomba usimamizi wa maudhui basi wapeni ukarani kuliko kuwachinjilia mbali halafu sensa ijayo muwe wazi kabisa kuweka nafasi zenu za kazi, zile ambazo mna watu wenu basi msiweke option ya kuomba kwenye mfumo.
Inasikitisha sana.
Mkuu naomba unitumie huu mwongozo mzima WhatsApp 0657 240 290 kama unao in PDF, kama hutojali. Ahsante!Unatakiwa kujua kata yako Inahtaji maafisa maudhui wangapi kabla mtu hajajithibitishia kupatView attachment 2295033
Mkuu, kama hutojali naomba na mimi nakala ya huo mwongozo PDF. PM au WhatsApp yangu ni 0657240290Nimeshakupata ninacho sasa hivi
😁😁😁😁 Umesema kweli mkuu,badoYaani umeipata hio nafasi hata kabla ya Interview [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sema umekuwa shortlisted na sio umeipata.
Pole mkuuNdio hivyo majina ya sensa yametoka lakini nafasi zilizorudi ni Karani wa sensa na Afisa Tehama tu,
Na baadhi ya maeneo ndio Kuna wasimamizi wa maudhui.
Kumbe hizi nafasi za usimamizi wa maudhui (content supervisor) wamewekewa walimu wakuu!
Kwanini Toka awali hiki kipengele msikitoe?
Kumbe tayari mna watu wenu?
Hii sio haki na kama vipi wale waliomba usimamizi wa maudhui basi wapeni ukarani kuliko kuwachinjilia mbali halafu sensa ijayo muwe wazi kabisa kuweka nafasi zenu za kazi, zile ambazo mna watu wenu basi msiweke option ya kuomba kwenye mfumo.
Inasikitisha sana.
Wapo ambao siyo walimu na wamechaguliwa na walishaanza mafunzo
Wacha kupotosha.. kama umekosa haikuwa bahati yako
Ndicho nilichomjibu; kuna watu wengi tu kutoka mtaani nawafahamu wamekwenda kwenye hayo mafunzo anayosema ni ya walimu wakuu pekeeMkuu,yeye anasema wasimamizi wa maudhui ni kwa ajili ya walimu wakuu na sio watu wengine,ndicho anacholaksmikia. Sasa hapo ww ulipo,wasimamizi wa maudhui ni walimu wakuu tu wameenda,au hata wasio wakuu wa shule wamepata hiyo nafasi ya maudhui?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu Tanzania!
Zima simu Yako! Halafu pembeni unaambiwa Lipa kwa mpesa!
Hilo suala inabidi linagaliwe upya wale WALIOMBA maudhui Waite kwenye usaili wa UKARANI kwani hakukuwepo tarifa mapema za hiyo nafasi ni za watu wa aina gani NBS wanatakiwa kujua wamekosea sana tena sanaBinafsi nimesikitika sana. Maeneo nilipo majina ya walioomba usimamizi wa maudhui wote wameliwa vichwa. Walipoteza muda na fedha zao kuomba, wamelipotezea tangazo lao. Tz bado sana.
Hii nchi watu wanafanya mambo kienyeji sana.Hilo suala inabidi linagaliwe upya wale WALIOMBA maudhui Waite kwenye usaili wa UKARANI kwani hakukuwepo tarifa mapema za hiyo nafasi ni za watu wa aina gani NBS wanatakiwa kujua wamekosea sana tena sana
Hii nchi watu wanafanya mambo kienyeji sana.
Utafikiri viongozi wameenda likizo.
Hilo suala inabidi linagaliwe upya wale WALIOMBA maudhui Waite kwenye usaili wa UKARANI kwani hakukuwepo tarifa mapema za hiyo nafasi ni za watu wa aina gani NBS wanatakiwa kujua wamekosea sana tena san
NBS wanapaswa kukaa na kutoa ufafanuzi kuhusu sitofahamu zinazoendelea kuhusu ajira za muda mfupiHayo yote tisa kimbembe ni WILAYA niliyopo kwa sasa, Mkuu wa wilaya katangaza kuenguliwa kwa watumishi wote katika zoezi la sensa,
Unaambiwa ni vilio vya THIS IS NOT FAIR.
Sent using Jamii Forums mobile app