Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi imejiandaa na ipo tayari kuchukua nafasi ya Chadema?

Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi imejiandaa na ipo tayari kuchukua nafasi ya Chadema?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Baada ya misukoko mikubwa iliyoikumba Chadema tangu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ni dhairi sasa chama hiki kinafikia mwisho enzi kama hali itaendelea kama ilivyo na kama walivyojiapisha baadhi ya mabwana wakubwa kwamba abadani chama hiki hakitarudi tena kuwawakilisha wananchi bungeni.

Katika mtanziko huu ndipo tunaona NCCR mageuzi ikipata uhai ghafla na kuanza kupasha kuingia uwanjani.

Je, NCCR iko tayari kuchukua nafasi ya CHADEMA katika siasa za upinzani katika uchaguzi wa Oktaba na baada ya siasa za uchaguzi huu wa 2020?

Vijana wa Chadema mko tayari kushirikiana na Mbatia kuirejesha NCCR katika ramani ya kisiasa na kukizika chama chenu rasmi au mtaamua kubutua wote mkose?

ACT tayari imedumaa.

CUF ilishafishwa.

CCM wanachekelea tu.

IMG_20200521_120206.jpg
 
CHADEMA hawako kwa ajili ya kuwa chama kikuu cha upinzani. Bali CHADEMA wana jiandaa kuchukua dola. Hivyo huwezi fananisha NCCR na CHADEMA maan avina malengo tofauti.

Mbatia ambaye jimbo la Vunjo limemshinda na ana ishi Masaki ana sema anataka kuwa chama kikuu cha upinzani. Wao Chadema wana mpango wa kuchukua dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawapokea kwa mikono miwili sio hiki chama kinachowatoa machozi hadharani wabunge wake bila huruma.
 
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Chadema wote say yeeeeiiiiyeeeee
 
Miaka 50 ijayo atakuwa mzee sana kuendelea kutawala.
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Chadema wote say yeeeeiiiiyeeeee
 
Unafikiri Chadema bado wana nafasi hiyo tena?
CHADEMA hawako kwa ajili ya kuwa chama kikuu cha upinzani. Bali CHADEMA wana jiandaa kuchukua dola. Hivyo huwezi fananisha NCCR na CHADEMA maan avina malengo tofauti. Mbatia ambaye jimbo la Vunjo limemshinda na ana ishi Masaki ana sema anataka kuwa chama kikuu cha upinzani. Wao Chadema wana mpango wa kuchukua dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NCCR ni chama makini sana.mbatia yuko smart sana,anajua kujenga hoja,kwenye mambo ya kitaifa uwa anawaweka watu pamoja.

Pia NCCR akina utamaduni wa kuwachangisha wabunge fedha alafu pesa anazila mtu mmoja.

NCCR wanao uthubutu wa kushiriki kwenye mambo ya kujenga uchumi wa nchi yetu.
NCCR inafaa kuchukua dola 2025 kama mbatia atobadilika akawa kama mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom