Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi imejiandaa na ipo tayari kuchukua nafasi ya Chadema?

Kwanini kilipotea katika ramani baada ya Mrema kuikosa ikulu?
 
Hakuna mtu amevizuia kupungua!
Hata leo Chadema,CUF na ACT wote wanaweza kuamua kuhamia NCCR.
Upinzani ungekuwa imara zaidi kama ingekuwa vyama kwa nchi nzima viwili au vitatu
 
Nasema ndani ya roho yangu kabisa na Mwenyezi Mungu ni shahidi kwamba ukiweka uchaguzi mkuu huru na haki CCM inakuwa chama kikuu cha upinzani.

Wote mnalijua hili na hakuna siri tena..kwamba CDM bara na ACT wazalendo Zanzibar ndiyo wanaunda Serikali ya Jamhuri ya Tanzania .hao NCCR sijui kama wanaweza kupata hata diwani mmoja.
 
Kama na wao CCM wanaamini hivyo hakuna siku watukubali uwe huru na wa haki.
 
Dola ufipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama na wao CCM wanaamini hivyo hakuna siku watukubali uwe huru na wa haki.
Yes, na hapa ndipo mtihani wa vyama HALISI vya upinzani ulipo... wakifanikiwa hapa tu basi.

Na CCM wanajua kuitoa tume huru ya uchaguzi ni sawa na kuikabidhi dola kwa vyama mbadala.
 
AMEN
 
Yes, na hapa ndipo mtihani wa vyama HALISI vya upinzani ulipo... wakifanikiwa hapa tu basi.

Na CCM wanajua kuitoa tume huru ya uchaguzi ni sawa na kuikabidhi dola kwa vyama mbadala.
SAFARI HII, tutakula nao sahani moja. AMEN
 
Sidhani hata kama mtaruhusiwa kuifikia hiyo sahani,mtabaki mnakodoa macho kwa mbali tu.
Yuda,
Hakuna atakaehitaji kungoja ruhusa yenu. Wenzio twawajuwa vizuri kuliko wewe, toka 1995. Mchawi, kwa ridhaa yake, akupe ruhusa ya kuchoma tunguli zake?
 
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Chadema wote say yeeeeiiiiyeeeee
Magu anajiandaa sio miaka 50 labda 10.
NCCR watakuwa backbenchers mpaka lini?
 
Magu anajiandaa sio miaka 50 labda 10.
NCCR watakuwa backbenchers mpaka lini?
NCCR ni kikundi cha mateka wasioejiewa.

Kama unamkubali Mh Mbowe Sema yeeeeeeiiyeeeeeeeee

Magufuli oyeeeeeee
.

Mwezi oktoba kura zote ziende kwa Membe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…