Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa CCM na James Mbatia, Nipe nikupe!
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
Ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , Je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
Ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , Je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .