Tetesi: NCCR - MAGEUZI kuitisha Mkutano Mkuu ili kutangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM 2020

Tetesi: NCCR - MAGEUZI kuitisha Mkutano Mkuu ili kutangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM 2020

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa CCM na James Mbatia, Nipe nikupe!

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

Ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , Je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
 
😁😁😁
IMG_20200531_121920.jpg
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
Dalili ya mvua ni mawingu. TLP, NCCR, CUF, kwa sasa siyo vyama. Ni VIRUSI
 
Mbatia anatumika kama Lipumba

ila baada ya uchaguzi utamsikia akijilizaliza na kujifariji "oohh Baba Tanzania amemsaliti Mama Tanzania.!

oohh bado $ijatimiziwa ahadi ya kuwa chama kikuu...hata hela yenyewe ya usajili nimepewa robo!!

times will tell..
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
Ni jambo jema!
 
Hakuna shida, mbona 2015 Chadema ilimsimamisha Mgombea Urais kutoka CCM na Mzee Mwinyi kwenye uzinduzi wa Kampen Jangwani akafichua siri kuwa safari ile CCM wana wagombea wawili akawapa herufi A na B akashauri tumchague wa CCM A!
 
Hakuna shida, mbona 2015 Chadema ilimsimamisha Mgombea Urais kutoka Ccm na Mzee Mwinyi kwenye uzinduzi wa Kampen Jangwani akafichua siri kuwa safari ile Ccm wana wagombea wawili akawapa herufi A na B akashauri tumchague wa Ccm A!
Sipati picha kwa Joseph Selasini kuanza kumnadi mgombea wa ccm !
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
Na CUF wako njiani kuunga juhudi mkono

2368793_2024173_IMG_20190329_072747_1.jpeg
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
CCM, NCCR, CUF, TLP vs CHADEMA polisi wakiwa likizo CHADEMA anachukua kombe
 
Back
Top Bottom