Tetesi: NCCR - MAGEUZI kuitisha Mkutano Mkuu ili kutangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM 2020

Tetesi: NCCR - MAGEUZI kuitisha Mkutano Mkuu ili kutangaza kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM 2020

Hiyo inaitwa KULA ULIWE.
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .

Kwani shida iko wapi? Huo ni mwanzo mzuri na pengine itakuwa ndo kushirikisha vyama pinzani kwenye madaraka kwa hiyo hakuna shida

Pia ukumbuke pia chadema ilitengeneza ukawa ma hapakuwa na shida.
 
Basi kama aligombea uenyekiti wa serikali ya kijiji Mrema ni kichaa, toka kuukosa kosa urais 1995 hadi kwenye kijiji
Mrema pamoja na kujipendekeza kote kwa Magu bado walimpora hadi uenyekiti wa serikali ya kijiji!

Shetani hana rafiki.
 
hata chadema mwaka 2015 waliisapoti ccm kwa kuchukua mgombea toka kwao aliyekatwa kwenye kura za maoni na kuwaacha walioteseka na chama na wote hao washarudi ccm
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !

Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .

ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?

Tunawatakia kila la heri .
Mbona unaandika huku unataka kulia? Tulia usiwe na kimuhemuhe.
 
Wanachosahau ni kuwa upinzania sio CHADEMA. Hata ikifa, mbadala utapatikana tu. Waliua NCCR-Mageuzi ikainuka CUF, wakaua CUF ikainuka CHADEMA, wakiua CHADEMA roho ya Mageuzi itapata mwili mwigine wa kuishi.

Na wasaliti wa mabadiliko mwisho wao kwenye siasa huwa ni wa hovyo tu.
 
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Upo very busy kuijenga NCCR huku ukitumia nguvu ndogo sana kushughulika na chadema yako
Tueleze hiyo saccos mtakuja na kituko gani mwaka huu badala ya kufuatilia mambo ambayo hayakisaidii chama chako
 
Ile heshima kidogo niliyokuwa nimembakizia bwana James nayo imekwenda na mafuriko ya kuunga juhudi.
 
Upo very busy kuijenga NCCR huku ukitumia nguvu ndogo sana kushughulika na chadema yako
Tueleze hiyo saccos mtakuja na kituko gani mwaka huu badala ya kufuatilia mambo ambayo hayakisaidii chama chako
CCM tulishaiteketeza kitambo , sasa hivi tunaendelea kupambana na polisi tu
 
Back
Top Bottom