NCCR watakuwa wajinga sana kukubali hivyo. Yaani Mbatia kavuta mkwanja wa kufa mtu, na hao wajumbe watakusanyika kumtilia ubani. Kweli hiyo???CCM tulishaiteketeza kitambo , sasa hivi tunaendelea kupambana na polisi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NCCR watakuwa wajinga sana kukubali hivyo. Yaani Mbatia kavuta mkwanja wa kufa mtu, na hao wajumbe watakusanyika kumtilia ubani. Kweli hiyo???CCM tulishaiteketeza kitambo , sasa hivi tunaendelea kupambana na polisi tu
Mipango yote imekamilikaNCCR watakuwa wajinga sana kukubali hivyo. Yaani Mbatia kavuita mkwanja wa kufa mtu, na hao wajumbe watakusanyika kumtilia ubani. Kweli hiyo???
Kipimo pekee cha kujua CHADEMA itatokaje, ni Magufuli kushinda hofu yake, ajikaze kiume, asiingilie uchaguzi ili uwe huru na haki. Yaani kama CHADEMA ikitoka chali, hapo nitakubali. Lakini hata sioni dalili ya Magufuli kushinda hofu na woga alionao.Si afadhali ya kirusi unaweza pona kama kirusi cha Corona. Sasa hiyo saccos ya chadema mtatokaje hapo Jomba.
Rushwa ni nini kisheria?Hiyo siyo rushwa?Nani wa kumfunga paka kengele?TAKUKURU wanachunguza ufisadi wa michango ya wabunge waliokuwa CDM kabla ya kuhamishiwa NCCR+CUF.Haya yanatakiwa kuingia katika World Wonders.Rushwa ya kidola.NCCR watakuwa wajinga sana kukubali hivyo. Yaani Mbatia kavuita mkwanja wa kufa mtu, na hao wajumbe watakusanyika kumtilia ubani. Kweli hiyo???
Wachaga wamekengeuka...(mtazamo tu).Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Ramli chonganishi hii. Mbatia alienda ikulu siku zimepita nyingi Leo unakuja na habari eti inasemekana, tuambie inasemekana na Nani? Kwanini nyie chadema wazushi hivyo? Kama mnaona chama kimekosa mwelekeo msianze kutafuta mchawi.Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Mkuu taarifa huwa zinavuja kwa mafunguRamli chonganishi hii. Mbatia alienda ikulu siku zimepita nyingi Leo unakuja na habari eti inasemekana, tuambie inasemekana na Nani? Kwanini nyie chadema wazushi hivyo? Kama mnaona chama kimekosa mwelekeo msianze kutafuta mchawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema ukweli Kuingoa CCM kwa Mfumo uliyopoHiyo haimaanishi kuwa ndiyo iwe sababu tuvunje kambi
Kusema ukweli Kuingoa CCM kwa Mfumo uliyopo
Ni ngumu sana mkuu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
😆😆😆
Mbele ya Mungu Mungu hakuna kinachoshindikanaKusema ukweli Kuingoa ccm kwa Mfumo uliyopo
Ni ngumu sana mkuu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ulitegemea nini baada ya mwenyekiti wa CCM kumsifia mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi hadharani? Contract signed!Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
SwadaktaKipimo pekee cha kujua CHADEMA itatokaje, ni Magufuli kushinda hofu yake, ajikaze kiume, asiingilie uchaguzi ili uwe huru na haki. Yaani kama CHADEMA ikitoka chali, hapo nitakubali. Lakini hata sioni dalili ya Magufuli kushinda hofu na woga alionao.