Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Dalili ya mvua ni mawingu. TLP, NCCR, CUF, kwa sasa siyo vyama. Ni VIRUSIInasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Ni aibu kubwa sana !Dalili ya mvua ni mawingu. TLP, NCCR, CUF, kwa sasa siyo vyama. Ni VIRUSI
Ni jambo jema!Inasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
Chadema sio chama tawala ila CCM na matawi yake wanakiogopa kama moto[emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani Messi anapambana na timu zaTaifa uwiiiiChadema sio chama tawala ila ccm na matawi yake wanakiogopa kama moto
Sipati picha kwa Joseph Selasini kuanza kumnadi mgombea wa ccm !Hakuna shida, mbona 2015 Chadema ilimsimamisha Mgombea Urais kutoka Ccm na Mzee Mwinyi kwenye uzinduzi wa Kampen Jangwani akafichua siri kuwa safari ile Ccm wana wagombea wawili akawapa herufi A na B akashauri tumchague wa Ccm A!
Na CUF wako njiani kuunga juhudi mkonoInasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .
CCM, NCCR, CUF, TLP vs CHADEMA polisi wakiwa likizo CHADEMA anachukua kombeInasemekana haya ni moja ya Makubaliano yaliyofikiwa kutokana na vikao vilivyofanyika Ikulu kati ya Mwenyekiti wa ccm na James Mbatia , Nipe nikupe !
Sasa kwa vile kikao hiki kitaitishwa hadharani basi tuendelee kusubiri na kujionea maajabu yaliyochanganyika na aibu .
ilianza TLP , sasa NCCR- MAGEUZI , je itafuatia CUF ?
Tunawatakia kila la heri .